Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
- Thread starter
- #101
Hapo Ndio pabaya!Wewe endelea kula bata Mzee kila mtu na fungu lake hakuna mafungu 7 lipo fungu 1 tu sasa lichezee puu yakukute ulie peke yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Ndio pabaya!Wewe endelea kula bata Mzee kila mtu na fungu lake hakuna mafungu 7 lipo fungu 1 tu sasa lichezee puu yakukute ulie peke yako
Subiri yakukute utalia peke Yako,tutakusikia ila hatutakusaidia!Tuache tule bata, hakujenga baba wakati mfuko wa cement sent 20 nihangaike mie sasa hivi mfuko unakaribia 20 elfu.
Nijenge nyumba ya nini, mimi niwe na nyumba na kobe awe na nini.
Pondamali kufa kwaja, nani alizikwa na mali zake🤣
Komenti hii ni kwa hisani ya BALIMI
Kuna watu wanaumwa sio MCHEZO km una afya njema mshukuru MUNGU kuna watu wanakula msoto hospitalini wengine hawana ndugu chakula wanagongea tu ili waendelee kuishiAonywaye mara nyingi akishupaza shingo atavunjika Wala haoni Dawa!
Well said 👏. Kama mtu hajafika huko anaweza asielewe unaongea nini hapa lkn huo ndio ukweli. Kuna umri ukifika utatamani urudishe miaka nyuma ili uweke mambo sawa lkn inakuwa too late. Kudos kwa wazee wazamani, unaweza ukamuona mzee yupo yupo tu, kawaida tu, kumbe bank ana akiba ya kutoshaHabari wanaJf,Niende moja kwa moja kwenye mada hapo juu.Mimi kwa Sasa Nina umri wa miaka Hamsini na tatu(53)Niliajiriwa kwenye kampuni moja wakati huo nikiwa na miaka Ishirini na sita(26).Tukiwa vijana na rafiki zangu tulifurahia sana Maisha na kampuni yenyewe ilikuwa inalipa vizuri sana .
Wenye ufahamu mzuri walijiwekeza kwenye ardhi, biashara,mifugo, nyumba,nk.Sasa umri umesonga nayo magonjwa nyemelezi yamekuwa tatizo!Ukimpigia simu mwenzako,utasikia Naumwa kisukari mara huyu,Kansa,mara,huyu viungo vimechemka,mara pressure nk.
Shida inakuja pale hukuwekeza gharama za matibabu ziko juu hata marafiki huwaoni na hata ukiwaona nao wanachangamoto zao Tulikuwa na msemo wa kijinga wa''Uza Nyumba Jenga Heshima Bar .Nisiwachoshe, Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Hapo kwenye kununua vitu nyengine na bando limo aisee, sijui tufanye nini tuondokane na huu utabu wa Internet mana unatulia pesa hatari 1😡Hapo napo ni changamoto!Nazungumzia wale wanaopata vizuri ananunua vitu vingine hata Hana kazi navyo mradi tuu anapesa!
Mguu bandia pale MOI haizidi 5milTupo pamoja,Hapa Nina jamaa yangu tulikuwa wote,kakatwa mguu (Kansa)Unahitajika mguu bandia ,bahati nzuri alijiwekeza kwenye mashamba ya miparachichi na alipata hela nyingi kabla ya vita vya Urusi na Ukraine ndo zimemsaidia!
Maisha yetu ni substandardIla tofauti ya life expectancy ya waafrika ni ndogo sana ukilinganisha na wenzetu kufika 90 ni kawaida sana na wao hawadhulumiwi pensions zao na wana raha mpaka wanazeeka kuliko waafrika
Njoo nikuoe Mrembo 'Malaika Nylon' niwe nakuwekea bando la mwaka mzimaHapo kwenye kununua vitu nyengine na bando limo aisee, sijui tufanye nini tuondokane na huu utabu wa Internet mana unatulia pesa hatari 1😡
Kuna Mama alikua analilia 3mil hana walimwambia hivyo kashindwa imebidi aendelee kutembelea magongo, Serekali ipo lakiniMguu bandia pale MOI haizidi 5mil
Kinyongaukizeeka mke atakua anakusaidia kwenda chooni
ukiumwa mke atakua na wewe bega kwa bega kukufariji mpaka kupona
kijana oa, fainali uzeeni
Kwani wa Magu ilifika uzeeni?Na vijana wanaoendekeza uchawa kwa kuweka avatar ya mama Samia wajue fainali ni uzeeni
Kwamba serikali ndo ilipie?Kuna Mama alikua analilia 3mil hana walimwambia hivyo kashindwa imebidi aendelee kutembelea magongo, Serekali ipo lakini
Wapi iyo na sisi tuamie huko, bongo yetu misoto ya kutosha sana yani ni shida mpaka unajuta kuzaliwa afrikaPia kuna NYumba za wazee..wanatibiwa...msosi mzuri....bia,nyama nini.....mpaka hospice.....
Ni taabu na majonzi,kufa hafi Cha moto anskipata!Kuna watu wanaumwa sio MCHEZO km una afya njema mshukuru MUNGU kuna watu wanakula msoto hospitalini wengine hawana ndugu chakula wanagongea tu ili waendelee kuishi
Usiyoyajua ni mengi kuliko uyajuao ukiwa fieldFanya kwa vitendo si Ndio kusimamia mwenyewe!
TrueKujibana ujanani ni jambo zuri ila vishawishi navyo ni vingi sana,hii imewagharimu watu wengi sana,vijana hili ni somo msilidharau...