Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Vijana wekezeni, fainali umri mkubwa!

Well said 👏. Kama mtu hajafika huko anaweza asielewe unaongea nini hapa lkn huo ndio ukweli. Kuna umri ukifika utatamani urudishe miaka nyuma ili uweke mambo sawa lkn inakuwa too late. Kudos kwa wazee wazamani, unaweza ukamuona mzee yupo yupo tu, kawaida tu, kumbe bank ana akiba ya kutosha
Sawa mkuu,nimekukubali
 
Tena vijana wa sasa hivi ndiyo wanatanua na mali za urithi sasa watoto wao sijui itakuwa je siku za usoni? MJISAHIHISHE HAMJACHELEWA!!!!!!
Hapo ndipo pabaya,maana watoto wao watakosa vya kurithi.
 
Kwa kutishana huko sasa itafika watu wanakula bata huku anajiandalia sindano ya sumu, Uzee ukija akiona haelewi najifunga tu kuliko kuishi kwa mateso
 
Back
Top Bottom