Vijana wengi mnakomalia vitu vinavyowapotezea muda mnaacha vinayowajenga

Vijana wengi mnakomalia vitu vinavyowapotezea muda mnaacha vinayowajenga

Kwa hyo hii ndo proof of earnings???????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utapeli wako wa kitoto sana huu
Jamaa kanichekesha knoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,yaan hapo nina uhakika hata ukimuuliza hzo ratings znapatkanaje ataishia mitini
 
Kama huo ujumbe unashindwa kuuelewa hata nikikwambia fanya kitu flani hutanielewa
Tatizo deals nyingi za vijana ni kama uchawi!!
Kama vitu unavielewa,si uweke hadharani!kwanini kuficha ficha kama maombezi ya Mwamposa!
Weka vitu,fundisha vijana,fafsnua vitu vieleweke kama Ohms law!
 
naunga mkono hoja
kama unamadini na unania ya kukomboa vijana
shuka tu hapa kila mmoja afaidike
Kuna thread zangu nyingi humu, kama unategemea mtu akwambie kadownload hela sehemu flani au wekeza elf tano upate elf kumi utasubiri sana
 
Jamaa kanichekesha knoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,yaan hapo nina uhakika hata ukimuuliza hzo ratings znapatkanaje ataishia mitini
Am from the future broo
 
Kwa hyo hii ndo proof of earnings???????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Subiri salary slip
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Unataka utajiwe
Forex, digital marketing, copywriting, blogging

Broo hakuna kitu kipya ni yaleyale unayoyasikia siku zote
Asa kwa nn unapiga kona kona? Chenga nyingi kama pele[emoji28][emoji28]
 
Freelancing ukiwa na ujuzi unapiga pesa,kuna watu wana youtube chnanel wanataka kuwekewa maneno kwa lugha tofauti, kuna wanaoitaji wakuwadizinia logo, kuna task flan za kutuma email kwa watu wengi kila email o.10 usd yani ni kucopy na kupaste ndo nime apply nasubir selected, yani kama unajuzi flani ingia upwork search zitakuja kazi za ujuzi wako utaapply,
 
Freelancing ukiwa na ujuzi unapiga pesa,kuna watu wana youtube chnanel wanataka kuwekewa maneno kwa lugha tofauti, kuna wanaoitaji wakuwadizinia logo, kuna task flan za kutuma email kwa watu wengi kila email o.10 usd yani ni kucopy na kupaste ndo nime apply nasubir selected, yani kama unajuzi flani ingia upwork search zitakuja kazi za ujuzi wako utaapply,
Ndio ndio
 
Back
Top Bottom