Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Yes íla hujatoa maelezoo jinsi yakupatANimesema hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes íla hujatoa maelezoo jinsi yakupatANimesema hapo juu
Wanafuta 🤔🤔🤔🤔😇Mbinu zipo online ila nikiziweka hapa mods wanafuta uzi wangu
Kwa hyo hii ndo proof of earnings???????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Qnet, forever au bf sumaHivyo vina ukomo
Mshahara utakata
Posho zitakata
Ila kama una biashara yako online itadumu mpaka labda internet izimwe
Jamaa kanichekesha knoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,,yaan hapo nina uhakika hata ukimuuliza hzo ratings znapatkanaje ataishia mitiniUtapeli wako wa kitoto sana huu
Tatizo deals nyingi za vijana ni kama uchawi!!Kama huo ujumbe unashindwa kuuelewa hata nikikwambia fanya kitu flani hutanielewa
naunga mkono hojaTatizo deals nyingi za vijana ni kama uchawi!!
Kama vitu unavielewa,si uweke hadharani!kwanini kuficha ficha kama maombezi ya Mwamposa!
Weka vitu,fundisha vijana,fafsnua vitu vieleweke kama Ohms law!
Kuna thread zangu nyingi humu, kama unategemea mtu akwambie kadownload hela sehemu flani au wekeza elf tano upate elf kumi utasubiri sananaunga mkono hoja
kama unamadini na unania ya kukomboa vijana
shuka tu hapa kila mmoja afaidike
Subiri salary slipKwa hyo hii ndo proof of earnings???????? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa jins unavoficha ficha hzo skills,,, hata hii screenshot siiamini.
Asa kwa nn unapiga kona kona? Chenga nyingi kama pele[emoji28][emoji28][emoji28] [emoji28] [emoji28] Unataka utajiwe
Forex, digital marketing, copywriting, blogging
Broo hakuna kitu kipya ni yaleyale unayoyasikia siku zote
Ndio ndioFreelancing ukiwa na ujuzi unapiga pesa,kuna watu wana youtube chnanel wanataka kuwekewa maneno kwa lugha tofauti, kuna wanaoitaji wakuwadizinia logo, kuna task flan za kutuma email kwa watu wengi kila email o.10 usd yani ni kucopy na kupaste ndo nime apply nasubir selected, yani kama unajuzi flani ingia upwork search zitakuja kazi za ujuzi wako utaapply,