Mr Bluetooth
Senior Member
- Aug 23, 2022
- 123
- 230
tunaamini vipi hii ni profile yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunaamini vipi hii ni profile yako?
Hii itakuwa ni kweli ni profile yake ya upwork ndio maana ina alama ya hicho kipenseli kuwa anaweza kuedit details zake ingekuwa kascreenshot ya mtu hiyo alama ya kipenseli isingekuwepoUtapeli wako wa kitoto sana huu
Kalynda ndio fulsa, au rifaro au platforms.Fursa gani hizo za online mkuu? Tusaidie yaweza saidia na sisi tukapitia mlango huo
Toa maelezo yote acha kufungafunga kamba.Unakuja kijana ana miaka 30+ anakwambia nimejitolea miaka mitatu kwenye kampuni flani lakini mpaka leo nakula posho tu
Mwingine anakwambia nimejifunza forex miaka mitatu lakini bado nachoma account
Mwingine nina miaka minne lakini bado nalipwa laki tatu
Dunia ya saiv sio ya kulipwa laki tatu au kujitolea miaka mitatu
Kuna fursa nyingi online unahitaji tu information sahihi kuzipata
Usipoteze muda huu mwaka kuwa wa tofauti
Hapo umefunguka Kwa mbali.Hivyo vina ukomo
Mshahara utakata
Posho zitakata
Ila kama una biashara yako online itadumu mpaka labda internet izimwe
Wewe jamaa inaawezekana kweli unafanya online bussines. Ila namna unavowasilisha nyuzi zako kwa kutaka watu wakufate inbox ndo shda.[emoji28]
Broo nimeshapost nyuzi zaidi ya 20 humu kuongelea hizo fursaHi.
Umeweka maelezo kwa kifupi sana, halafu ukajikuta katika politics za majibizano na kuthibitisha.
Unge hint hizo fursa na kuelekeza njia ya kuziendea, na kutupa maelekezo tufanye research katika kipi ndugu.
Watanzania wengi wa issue za online ni wachoyo[emoji38]. Dont be one of them man.
The more you help people the more you increase opportunity.
Ndo uwezo wako
Ndo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia?
EeeNdo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia?
Ungetoa na mwelekeo sasa, mf. Fursa gani na gani watu wakachkmbe wenyewe kujiridhisha.Unakuja kijana ana miaka 30+ anakwambia nimejitolea miaka mitatu kwenye kampuni flani lakini mpaka leo nakula posho tu
Mwingine anakwambia nimejifunza forex miaka mitatu lakini bado nachoma account
Mwingine nina miaka minne lakini bado nalipwa laki tatu
Dunia ya saiv sio ya kulipwa laki tatu au kujitolea miaka mitatu
Kuna fursa nyingi online unahitaji tu information sahihi kuzipata
Usipoteze muda huu mwaka kuwa wa tofauti
Anataka mumfate pm huelewi nini? [emoji3][emoji3]Kwa jins unavoficha ficha hzo skills,,, hata hii screenshot siiamini.
Watu wanakuuliza ni skills gan ww unaficha ficha unataka ulambwe ndo useme?? Kama ulikua hutaki kusema sasa umeanzisha uzi wa nn? For braging au?