Vijana wengi mnakomalia vitu vinavyowapotezea muda mnaacha vinayowajenga

Zipo wanazijua, nina threads nyingi sana humu nawaelezea kila siku

Hao wanaonijibu wananifahamu vizuri
 
Kuna makampuni yashakuwa wajanja wao awaajiri uchukua wahitimu wa kujitolea na kuwapigisha Kazi za kuajiriwa kwa kulipwa posho chakula na nauli utapiga Kazi kwa matumaini ya kuajiriwa hadi utakapoondoka mwenyewe, wanaingiza wengine hivyo hivyo kwa mzunguko huo huo huku mkiwazalishia, faida ya kuwatumia wa kujitolea
1.Huna mkataba huna haki ya kisheria
2.Wanajituma Sana tena bila kusimamiwa less supervision
3.Ni waaminifu Wana nidhamu
4.Ulipwi mshahara, michango, makato mfano kodi nk
5.Ni rahisi kuzificha mamlaka kwamba hawa wanajitolea kupata uzoefu kumbe ndo wanatumika hivyo.
 
Huu ni unYoko zaidi ya uQumanina ni kwa nini usiwape hizo connection hapa hao vijana?
 
Wewe jamaa inaawezekana kweli unafanya online bussines. Ila namna unavowasilisha nyuzi zako kwa kutaka watu wakufate inbox ndo shda.

Nmesoma na ule uzi wako mwngne.
Tatizo Anajikuta ameshatonoa.
 
Itwa kwenye fursa, uwe fursa..
 
Tatizo kelele tu ndo nyingi mbona hushpup alikua anatuoshesha vitendo

Lete picha hapa ukiwa inaendesha RR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…