Vijana wengi wa JF hela hawana ndio maana kila siku ni kataa ndoa tu

Mtoa mada kasema sisi kataa ndoa hatuna pesa, tunashindwa kuhonga. Kwani ye alioa ili ahonge?
Anayelalamika kuhonga ni mvulana huyo hajakuwa.
Umedate na msichana miaka mi4 unajiwekaje kwenye kundi la kataa ndoa. Date na mtu miaka 20 ndio useme. The future is unknown
 
Siwezi poteza mda wangu kujibu mtu mwenye akili za hv, ila jua tu kataa ndoa Wana akili kuliko hata wazazi wako na wapo vzr kifedha
 
Huu uzi ulinipita kweli duuuu...!!! Acheni kuomba omba bana, tafuteni pesa zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…