Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Umedate na msichana miaka mi4 unajiwekaje kwenye kundi la kataa ndoa. Date na mtu miaka 20 ndio useme. The future is unknownMtoa mada kasema sisi kataa ndoa hatuna pesa, tunashindwa kuhonga. Kwani ye alioa ili ahonge?
Anayelalamika kuhonga ni mvulana huyo hajakuwa.