Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Vijana wengi hasa wa mijini hawajui ni namna gani ya kuwazika wapendwa wao, hii nimeiona kwenye misiba kadhaa hasa ya kikristo wazikaji wanakodiwa.
Kwanza ni waoga kuingia mortuary hawawezi kabisa, wakati wa mazishi kuingia kaburini wengi wao hawawezi kabisa kazi kunyoa viduku na kuvaa suruali nusu makali.
Unakuta mtu kafiwa na baba yake mzazi anaambiwa ingia umzike baba yako anabaki amekodoa mimacho tu hajui aanzie wapi.
Vijana wa vijijini wapo vizuri wanajua kutekeleza haya majukumu ila mijini ni sifuri.
Kwanza ni waoga kuingia mortuary hawawezi kabisa, wakati wa mazishi kuingia kaburini wengi wao hawawezi kabisa kazi kunyoa viduku na kuvaa suruali nusu makali.
Unakuta mtu kafiwa na baba yake mzazi anaambiwa ingia umzike baba yako anabaki amekodoa mimacho tu hajui aanzie wapi.
Vijana wa vijijini wapo vizuri wanajua kutekeleza haya majukumu ila mijini ni sifuri.