Vijana wengi wa sasa CHADEMA hawajengi hoja, wanatumia jazba kujibu hoja

Vijana wengi wa sasa CHADEMA hawajengi hoja, wanatumia jazba kujibu hoja

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.

Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.

Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja.
Hivi sasa vijana wa chawa wa Lissu badala ya kutumia akili na kutafuta ukweli kinachoandikwa
 
Bado wanatumia busara sana...kama ni jazba tu mkuu.
 
Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.

Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.

Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja
Wa vyama vingine wanajenga hoja??
 
Itakuwa wanaona mada zako hazifai kujibiwa Kwa hoja kulingana na mada Yako uliyoweka mezan Haina mashiko yyt yanayoweza kujenga hojaa mkuu ,hvyo wanaona wajibu kulingana na ulivyokujaa🤔
 
Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.

Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.

Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja.
Hivi sasa vijana wa chawa wa Lissu badala ya kutumia akili na kutafuta ukweli kinachoandikwa
Ulitaka uharo wako ujibiwe kwa hoja?
Huko ccm mmejaa machawa na wachumia tumbo tu na ndio maana kila kijana wa cdm anayehamia ccm anakuwa lulu na kupewa vyeo huku nyie mkikesha mitandaoni kuandika uharo
 
Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.

Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.

Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja.
Hivi sasa vijana wa chawa wa Lissu badala ya kutumia akili na kutafuta ukweli kinachoandikwa
wenzako mimba zao wanaagiza ukwaju wewe umeumana na chadema utafikiri ndiyo waliokupachika ujauzito na ndiyo mkome kufanya ngono zembe kwenye mikesha ya mwenge
 
Ulitaka uharo wako ujibiwe kwa hoja?
Huko ccm mmejaa machawa na wachumia tumbo tu na ndio maana kila kijana wa cdm anayehamia ccm anakuwa lulu na kupewa vyeo huku nyie mkikesha mitandaoni kuandika uharo
Hawa UWT hawana akili kabisa
 
Back
Top Bottom