Bavicha siyo Masjid
Wa vyama vingine wanajenga hoja??Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.
Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.
Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja
Team lissu imekuwa na jazba kama LemaWa vyama vingine wanajenga hoja??
No nataka ajue ukubwa wa tatizo ulivyo kuliko kuangalia chama kimoja.Team lissu imekuwa na jazba kama Lema
Huyu Lissu ndiye alikutoa usichana wakoTeam lissu imekuwa na jazba kama Lema
Ulitaka uharo wako ujibiwe kwa hoja?Hivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.
Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.
Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja.
Hivi sasa vijana wa chawa wa Lissu badala ya kutumia akili na kutafuta ukweli kinachoandikwa
wenzako mimba zao wanaagiza ukwaju wewe umeumana na chadema utafikiri ndiyo waliokupachika ujauzito na ndiyo mkome kufanya ngono zembe kwenye mikesha ya mwengeHivi ukipost kuhusu kuokosoa uongozi mpya wa chadema basi hujibiwa kwa kejeli badala ya hoja.
Haya yanajitokeza ktk account mbali mbali ikiwemo Ngurumo katika hoja yake kuhusu hujuma anaetaka kufanyiwa mwenyekiti wa BAWACHA. Ukisoma comment za wanaCHADEMA utaona wazi kuna gap kubwa kati ya Team Lissu na vijana wa zamani wa chadema.
Tofauti na vijana wa zamani kama martin, Bony Yai. Hawa ukitembelea account zao za X Zikijaa hoja na hujibu ukosoaji uliokuwa unafanywa dhidi zikijibiwa kwa hoja.
Hivi sasa vijana wa chawa wa Lissu badala ya kutumia akili na kutafuta ukweli kinachoandikwa
Hawa UWT hawana akili kabisaUlitaka uharo wako ujibiwe kwa hoja?
Huko ccm mmejaa machawa na wachumia tumbo tu na ndio maana kila kijana wa cdm anayehamia ccm anakuwa lulu na kupewa vyeo huku nyie mkikesha mitandaoni kuandika uharo