Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Kasi ya vijana kukimbilia mjini hasa Dar es Salaam imekuwa kubwa mno na inatisha. Ni kawaida sasa kila kijana uliyesoma naye primary au sekondari ukimuulizia yuko wapi atakuambia yuko Dar.
Ilinifanya mpaka Takwimu za NBS kuhusu idadi ya wakazi wa Dar es Salaam niliona imepunguza idadi. Hawa vijana wanafanya kazi za nguvu ili kujipatia ridhki ya kula leo na kesho tu. Wengine wanaishi kwa umachinga na wachache wameajiriwa.
Miaka 30 mbele tayari wengi watatupwa nje katika shughuli zao naturally. Na hapo wazee maskini na ombaomba wataongezeka.
Kasi ya vijana kukimbilia mjini hasa Dar es Salaam imekuwa kubwa mno na inatisha. Ni kawaida sasa kila kijana uliyesoma naye primary au sekondari ukimuulizia yuko wapi atakuambia yuko Dar.
Ilinifanya mpaka Takwimu za NBS kuhusu idadi ya wakazi wa Dar es Salaam niliona imepunguza idadi. Hawa vijana wanafanya kazi za nguvu ili kujipatia ridhki ya kula leo na kesho tu. Wengine wanaishi kwa umachinga na wachache wameajiriwa.
Miaka 30 mbele tayari wengi watatupwa nje katika shughuli zao naturally. Na hapo wazee maskini na ombaomba wataongezeka.