Uchaguzi 2020 Vijana wengi wasomi wamepata moyo kugombea kwa sababu ya uimara wa Magufuli

Uchaguzi 2020 Vijana wengi wasomi wamepata moyo kugombea kwa sababu ya uimara wa Magufuli

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Mzee Shomari ameniambia kuwa kuna wimbi kubwa la vijana wasomi wakiwemo madaktari,mainjinia n.k ambao wameshawishika kutia nia huku sababu yao kuu ikiwa ni uwanja huru na wenye fursa ndani ya CCM ambao umewekwa na mwenyekiti wetu wa chama.

Nawaasa vijana wazalendo kutumia fursa hii adhimu yenye ushindani wa haki kuitumia vilivyo na hakika JPM hatawaangusha vijana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA(MZEE SHOMARI)
 
Mzee Shomari ameniambia kuwa kuna wimbi kubwa la vijana wasomi wakiwemo madaktari,mainjinia n.k ambao wameshawishika kutia nia huku sababu yao kuu ikiwa ni uwanja huru na wenye fursa ndani ya CCM ambao umewekwa na mwenyekiti wetu wa chama.
Nawaasa vijana wazalendo kutumia fursa hii adhimu yenye ushindani wa haki kuitumia vilivyo na hakika JPM hatawaangusha vijana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Baada ya kugundua kuwa rais anaweza kuagiza box la kura linajisiwe kwa faida ya ccm,kila mmoja anakimbilia ccm ili apate ubunge wa bwerere. Huu mwenendo wa kunajisi box la kura ni jambo la muda mfupi sana.
 
Mzee Shomari ameniambia kuwa kuna wimbi kubwa la vijana wasomi wakiwemo madaktari,mainjinia n.k ambao wameshawishika kutia nia huku sababu yao kuu ikiwa ni uwanja huru na wenye fursa ndani ya CCM ambao umewekwa na mwenyekiti wetu wa chama.
Nawaasa vijana wazalendo kutumia fursa hii adhimu yenye ushindani wa haki kuitumia vilivyo na hakika JPM hatawaangusha vijana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!


Walioshindwa kwenye kura za maoni mwaka 2015 walipata teuzi ndiyo maana mwaka huu vijana wanachangamkia fursa.
 
Mzee Shomari ameniambia kuwa kuna wimbi kubwa la vijana wasomi wakiwemo madaktari,mainjinia n.k ambao wameshawishika kutia nia huku sababu yao kuu ikiwa ni uwanja huru na wenye fursa ndani ya CCM ambao umewekwa na mwenyekiti wetu wa chama.
Nawaasa vijana wazalendo kutumia fursa hii adhimu yenye ushindani wa haki kuitumia vilivyo na hakika JPM hatawaangusha vijana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nasikia mnawaita "Ngedere" wanadokoa mahindi ya mawaziri.
 
Hawana Kazi za kufanya. Sielewi kwanini hakuna sera imara TZ za kilimo cha kisasa. Kazi za ukuli wa barabara hazina maslahi wangeweka masoko ya nchi Jirani watu walime
unasemaje kuwa madaktai hawana kazi...wakati JPM kaajiri madaktari 1000?
 
Na ushindi wa CCM safari hii ni wa kishindo kwa watakaobahatika kupita kura za maoni uhakika ushindi ni 99.9%,safari hii watasafiria nyota ya JPM
 
madaktari na mainjinia wana kipato gani?

Kama mwenyekiti wa ccm alisimama hadharani na kutangaza, kuwa wanaccm wawe wamoja kisha yeye apite kwenye uchaguzi, halafu atawapa vyeo maana vipo vingi! Hivyo kila mmoja anajua akijisogeza atapewa cheo. Hiyo maana yake ni kuwa rais atatumia madaraka yake kunajisi box la kura ili awagaie wanaccm wenzake vyeo. Kwa maneno marahisi, rais kageuza nchi hii ni sehemu ya kugaia wanaccm wenzake vyeo.
 
Kama mwenyekiti wa ccm alisimama hadharani na kutangaza, kuwa wanaccm wawe wamoja kisha yeye apite kwenye uchaguzi, halafu atawapa vyeo maana vipo vingi! Hivyo kila mmoja anajua akijisogeza atapewa cheo. Hiyo maana yake ni kuwa rais atatumia madaraka yake kunajisi box la kura ili awagaie wanaccm wenzake vyeo. Kwa maneno marahisi, rais kageuza nchi hii ni sehemu ya kugaia wanaccm wenzake vyeo.
Rais na Mwenyekiti wa Chama kugawa vyeo ni kazi yake halali...sasa hivi fursa ya kupata vyeo ni uchapa kazi tofauti na awali na vijana wametambua hilo
 
Mzee Shomari ameniambia kuwa kuna wimbi kubwa la vijana wasomi wakiwemo madaktari,mainjinia n.k ambao wameshawishika kutia nia huku sababu yao kuu ikiwa ni uwanja huru na wenye fursa ndani ya CCM ambao umewekwa na mwenyekiti wetu wa chama.
Nawaasa vijana wazalendo kutumia fursa hii adhimu yenye ushindani wa haki kuitumia vilivyo na hakika JPM hatawaangusha vijana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Jingalao na hekaya za muuza kahawa mzee Shomari! Tunasubiri stori za Mzee Bujigo muuza ugoro labda hizo zitabamba!
 
unasemaje kuwa madaktai hawana kazi...wakati JPM kaajiri madaktari 1000?

Madaktari wasio na ajira ni kiasi gani? Halafu kaajiri madaktari 1,000 au katangaza kuwa kaajiri madaktari 1,000. Ni ngumu kuamini data za mtu muongo.

Halafu weka ile list ya viwanda 100@mkoa hapa ili tuamini ukweli wa kisemwacho.
 
Madaktari wasio na ajira ni kiasi gani? Halafu kaajiri madaktari 1,000 au katangaza kuwa kaajiri madaktari 1,000. Ni ngumu kuamini data za mtu muongo.

Halafu weka ile list ya viwanda 100@mkoa hapa ili tuamini ukweli wa kisemwacho.
Nipe idadi ya madaktari wasio na ajira ...
viwanda vimefumuka kwa wingi tena hasa katika kipindi hiki cha COVID 19
 
Rais na Mwenyekiti wa Chama kugawa vyeo ni kazi yake halali...sasa hivi fursa ya kupata vyeo ni uchapa kazi tofauti na awali na vijana wametambua hilo

Ni kazi yake halali, ila vigezo havizingatii, bali uccm ndio kigezo, lengo ni ili kupata watu wa kumsujudia.
 
Nipe idadi ya madaktari wasio na ajira ...
viwanda vimefumuka kwa wingi tena hasa katika kipindi hiki cha COVID 19

Nimemukuuliza ww, maana nina mdogo wangu yuko mtaani, na anasema ana wenzake wengi wako mtaani.

Weka list, ili tuone % ya vile viwanda 100@mkoa. Shida iko wapi kuweka list boss?
 
Back
Top Bottom