Uchaguzi 2020 Vijana wengi wasomi wamepata moyo kugombea kwa sababu ya uimara wa Magufuli

Uchaguzi 2020 Vijana wengi wasomi wamepata moyo kugombea kwa sababu ya uimara wa Magufuli

Nimemukuuliza ww, maana nina mdogo wangu yuko mtaani, na anasema ana wenzake wengi wako mtaani.

Weka list, ili tuone % ya vile viwanda 100@mkoa. Shida iko wapi kuweka list boss?
Mdogo wako alisomea udaktari Chuo gani?
sasa hivi kuna Polyclinics kibao na utaratibu wa madaktari kujiajiri umerahisishwa sana
 
Mdogo wako alisomea udaktari Chuo gani?
sasa hivi kuna Polyclinics kibao na utaratibu wa madaktari kujiajiri umerahisishwa sana

Muhimbili. Ila sio mwanachama wa ccm na hatakaa awe. Labda uniambie afanyeje ili naye apate ajira.
 
Muhimbili. Ila sio mwanachama wa ccm na hatakaa awe. Labda uniambie afanyeje ili naye apate ajira.
amemaliza mwaka gani?ajira 1000 za madaktari bado zipo wazi labda uniambie alikuwa ni kilaza aliyeiba mitihani
 
Kwani wameisha alipo ajili wale buku, si uliskia wapo 1900 jumla registered, bado wa intern ship
kwani umeambiwa vituo vya kutolea huduma vimeisha?hao 1000 wameacha gape kwenye sekta binafsi...daktari MD anaanzaje kukosa ajira Tanzania?
 
Tabu kubwa wengi wao ni kwa maslahi yao, na sio kwa ajili ya wananchi. Hawana passion ni kuvizia tu vyeo. Mkulu nae kwa hili anashangaza
 
kwani umeambiwa vituo vya kutolea huduma vimeisha?hao 1000 wameacha gape kwenye sekta binafsi...daktari MD anaanzaje kukosa ajira Tanzania?
Haya bado ma engineer, wameajili wangapi ndugu ? Sio kwamba mm ni CDM ila ukweli ndo huo acha waingie kwenye siasa wana uhakika wa kukunja 1B kwa miaka 5 kuliko kusubilia M1.9 ya makato kila mwezi
 
Haya bado ma engineer, wameajili wangapi ndugu ? Sio kwamba mm ni CDM ila ukweli ndo huo acha waingie kwenye siasa wana uhakika wa kukunja 1B kwa miaka 5 kuliko kusubilia M1.9 ya makato kila mwezi
Kwa upande wa Engeneers kuna project nyingi sana zimetekelezwa awamu hii na wamepata fedha za kuingia kwenye kinyang'anyiro
 
Kwa upande wa Engeneers kuna project nyingi sana zimetekelezwa awamu hii na wamepata fedha za kuingia kwenye kinyang'anyiro
Excellently ila mwenyewe nataka nikatie nia kijijini kwetu ingawa nashangaa watu 8 wametia nia na wote professor najiuliza wapo jobless au mishahala yao haiwatoshi
 
Excellently ila mwenyewe nataka nikatie nia kijijini kwetu ingawa nashangaa watu 8 wametia nia na wote professor najiuliza wapo jobless au mishahala yao haiwatoshi
wanatumia haki yao ya kikatiba
 
Kuna tatizo kubwa la vijana wasomi kuingia kwenye siasa badala ya kujali utaalam waliosomea na hii inasababishwa na mfumo(system)kujali zaidi siasa kimaslahi zaidi ya wataalam.
 
Kuna tatizo kubwa la vijana wasomi kuingia kwenye siasa badala ya kujali utaalam waliosomea na hii inasababishwa na mfumo(system)kujali zaidi siasa kimaslahi zaidi ya wataalam.
vijana wasomi kuinngia kwenye siasa ni ukombozi sio kosa
 
Back
Top Bottom