Vijana wengine waibukia hospitalini Dodoma kutaka kuuza figo

Hii umekaa vipi tena!? Yaani unachukua figo toka kwa mtoto wako,wewe umeishi miaka mingi unataka mtoto aishi kwa kuunga unga,kwangu Mimi naona kama hii haijatulia na Mimi siwezi ukubali mtoto wangu atolewe figo kwa akili yangu!!
 
Hawezi kiri hadharani italeta mtafuruku kwenye jamii,,,lakini other side biashara inaendelea kama kawa!!!
 
Hii kitu italeta madhara makubwa sana huko mbele kama mauwaji ya watu wasio na hatia na human traficking nyie ipigieni debe muone km ni sifa Tena na ndo hvyo nchi imefunguka we shall see
 
Wakiruhusu figo zitanyofolewa sana na mauaji yatakuwa mengi

Wafanye mtu akifa viungo vyake ni vizima vihifadhiwe na kupewa wagonjwa ila iwe hiari kwa mgonjwa

Hawakutangazii, naamini wanauliza ndugu watu wakikaribia kufa
 
Mm nafikiri serikali iendelee kukataa kuuza vioungo
Lkn wachukue toka katika ajali mbali mbali zinazotokea nchini maana vile viungo vinapotea bure.
Bila kusahau kuwapa elimu wanachii juu ya faida na hasara ya biashara ya viungo.
 
Kama Kuna Mtu ana mgonjwa naweza msaidia Figo life is about donation and not Duration natamani kufanya kitu Kama hicho kuokoa maisha ya Mtu hapa Duniani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…