Vijana wenzangu msipoteze muda wenu kusubiri hela za Google, Facebook na TikTok kwasababu ni hela za chai, mtachelewa kufanikiwa

Mfano una App yako inapata watumiaji 300k tu kwa mwezi? ukiweka admob unakua na uhakika wa dola 100 kwa mwezi...Sasa sijakwambia ukiwa na user 1M tu Trust me unaweza kujenga kwa pesa za Admob
Du! Watumiaji 300k dollar 100 kwa mwezi si kazi ya kanisa hii au umekosea hesabu zako mana kuwapata hao watumiaji 300k ni mziki
 
Hii pesa at kwa mshahara huifikishi ni njia ya mtandao tu
 
Ningesema pesa ilipo mtandaoni sema labda wewe ni serikali unataka uanzishe makato na tozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…