Vijana wote iwe Chadema au Ccm wanakimbilia siasa ili kutafuta unafuu wa maisha .

Vijana wote iwe Chadema au Ccm wanakimbilia siasa ili kutafuta unafuu wa maisha .

Ezra cypher

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2024
Posts
244
Reaction score
904
Huyu jamaa anajiita Mdude .

Kwanza hana Elimu ya darasani , pili haelewi Kwa kina kuhusu siasa.

Muda anaoutumia mitandaoni kuponda na kubeza wanasiasa bora angeutumia kuboresha Kazi zake za ufundi wa Simu na computer.


Hao akina Mwambukusi sio wenzake hao wana Elimu kubwa Sana na wamempita mbali kiharakati.

So ikiwa anataka kufanikiwa either arudi darasani au aachane na siasa maana anatumika tu.

Kina Melisa Gj , Yericko na wengineo wamejiunga katika siasa za upinzani kimkakati ili kupata hela and nothing else.

#Mbowe must go
 
Huyu jamaa anajiita Mdude .

Kwanza hana Elimu ya darasani , pili haelewi Kwa kina kuhusu siasa.

Muda anaoutumia mitandaoni kuponda na kubeza wanasiasa bora angeutumia kuboresha Kazi zake za ufundi wa Simu na computer.


Hao akina Mwambukusi sio wenzake hao wana Elimu kubwa Sana na wamempita mbali kiharakati.

So ikiwa anataka kufanikiwa either arudi darasani au aachane na siasa maana anatumika tu.

Kina Melisa Gj , Yericko na wengineo wamejiunga katika siasa za upinzani kimkakati ili kupata hela and nothing else.

#Mbowe must go
Cha ajabu,Mdude anakaa na akina Mwabukusi na wasomi wengine wanapanga mambo mema ila wewe upoupo tu kijiweni unalalama.La kushangaza zaidi,Mdude anapata hadi muda wa kuhutubia majukwaani na taarifa zake kwenye media ila wewe upo hapa kwa fake id.Ajabu hii.
 
Back
Top Bottom