Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi huu ugawaj wa vyandarua muda huu
Mungu tutamwachia mengine lakini sio ya kura zetu!Kushinda atashinda Lissu ila hatatangazwa
Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Wee ni mwanaccm? Akili zako hazina akili, wanafunzi wawili, wawili wanasema, mmoja akasema na mmoja akakaa kimya!Leo nimetulia sehemu wakapita wanafunzi wawili.
Wawili wakasema wanampennda magufuri mmoja anampenda lissu mmoja alikaa kimyaa.
Ulikuta wanafunzi wawili. Mmoja Anashabikia Lissu. Mmoja alikaa kimya.Leo nimetulia sehemu wakapita wanafunzi wawili.
Wawili wakasema wanampennda magufuri mmoja anampenda lissu mmoja alikaa kimyaa.
Wavulana wa BAVICHA mna shida ninyi.Wee ni mwanaccm? Akili zako hazina akili, wanafunzi wawili, wawili wanasema, mmoja akasema na mmoja akakaa kimya!
Ha ha ha ha haUlikuta wanafunzi wawili. Mmoja Anashabikia Lissu. Mmoja alikaa kimya.
Hao wawili wengine wa Magu wakitoka wapi😄😄😄😄😄
Mkuu usipoteze nguvu zako kusahihisha coment yangu.Wamepita wanafunzi 2:
2 wanampenda Magufuli
1 anampenda Lissu
1 alikaa kimya
Hivi ninyi CCM mna akili za wapi? Huoni kuwa ... basi tu nikae kimya
Usijali Kama iko poa ni fresh👍😊Mkuu usipoteze nguvu zako kusahihisha coment yangu.
Ipo sahihi na haijakosewa.
Hii coment iwafikie CHADEMA wote kuanzia mwenyekiti wao hadi vipaza sauti vyao vya humu JF.Matusi ni defence mechanism ya mtu mwoga.
Lowasa aliishida CCM mchana kweupe ee lakini tume yenu ikamtangaza Jiwe,umewekeza zaidi kwenye kuiba kura kuliko uhalisia,na mnajua.bila tume yenu na vyombo vya dola hamna uwezo wa kuishinda Chadema.Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Wananchi wanajua kwamba hiyo ni rushwa ya uchaguziMkuu vipi huu ugawaj wa vyandarua muda huu
Umetokelezea..😄
Ujumbe utakuwa umefika kama vile ufisadi ulivyopigiwa kelele enzi ya Kikwete ikamcost urais Lowasa Magufuli kaja kujaribu kurekebisha. Suala la uhuru na haki linalopigiwa kelele na Lissu tuombe Mungu ujumbe utafika na marekebisho yatafanyikaLowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Labda abebwe na wakurugenzi,DCs,RCs ,NEC na polisi.Uwezo wa Magufuli kupata kura 3M haipo bila msaada!Ni kweli chini ya kura halali kabisa 3m hapati.
Lowasa hakuwahi kuwa zaidi ya LISSU chunguza tenaLowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae