Uchaguzi 2020 Vijijini mwamko ni mkubwa mno katika mikutano ya Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Vijijini mwamko ni mkubwa mno katika mikutano ya Tundu Lissu

Tatizo kuna walioghairi kupiga tena Kura sasa wamebadili mawazo, ila sijui watapiga upande gani
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Wala sijamsikia yeye binafsi wala wapambe wakijitapa nao, ule uwanja now anauona nuksi
 
Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae

Vijana gani wakujiandikisha hivi unafahamu kwamba waliojiandikisha milioni 29 ni kama vile wananchi wote waliotimiza umri wa kupiga kura wamejiandikisa fikiria population ya Tanzania ni watu milioni 55na walio chini ya miaka 18 ni asilimia 43 ambayo ni kama nusu sasa kujiandikisha watu milion 29 ni kwamba zaidi ya nusu ya population wamejindikisha, kwahiyo wote wenye umri wa kupiga kura mwaka huu wamejiandikisha achana na hiyo maneno ya uwongo
 
Leo nimetulia sehemu wakapita wanafunzi wawili.

Wawili wakasema wanampennda magufuri mmoja anampenda lissu mmoja alikaa kimyaa.
Wee ni mwanaccm? Akili zako hazina akili, wanafunzi wawili, wawili wanasema, mmoja akasema na mmoja akakaa kimya!
 
Leo nimetulia sehemu wakapita wanafunzi wawili.

Wawili wakasema wanampennda magufuri mmoja anampenda lissu mmoja alikaa kimyaa.
Ulikuta wanafunzi wawili. Mmoja Anashabikia Lissu. Mmoja alikaa kimya.

Hao wawili wengine wa Magu wakitoka wapi😄😄😄😄😄
 
Wee ni mwanaccm? Akili zako hazina akili, wanafunzi wawili, wawili wanasema, mmoja akasema na mmoja akakaa kimya!
Wavulana wa BAVICHA mna shida ninyi.

Kwa akili zenu mnaamini nimeandika kimakosa.
 
Wamepita wanafunzi 2:
2 wanampenda Magufuli
1 anampenda Lissu
1 alikaa kimya

Hivi ninyi CCM mna akili za wapi? Huoni kuwa ... basi tu nikae kimya
Mkuu usipoteze nguvu zako kusahihisha coment yangu.


Ipo sahihi na haijakosewa.
 
Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Lowasa aliishida CCM mchana kweupe ee lakini tume yenu ikamtangaza Jiwe,umewekeza zaidi kwenye kuiba kura kuliko uhalisia,na mnajua.bila tume yenu na vyombo vya dola hamna uwezo wa kuishinda Chadema.
 
Ukienda deep sana kwenye uchaguzi huu utaona pande mbili zenye mihemko miwili tofauti.
Upande mmoja uliamini mambo yatakuwa mteremko sana lakini hayajawa hivyo.
Upande mwingine wenyewe ulijiona ni marehemu, mara wakasikia roho yao imedunda tena.
 
Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Ujumbe utakuwa umefika kama vile ufisadi ulivyopigiwa kelele enzi ya Kikwete ikamcost urais Lowasa Magufuli kaja kujaribu kurekebisha. Suala la uhuru na haki linalopigiwa kelele na Lissu tuombe Mungu ujumbe utafika na marekebisho yatafanyika
 
Lowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Lowasa hakuwahi kuwa zaidi ya LISSU chunguza tena
 
Back
Top Bottom