Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna utaalam?Aisee 😃😃😃
Au pia kamba inatanuka hivyo baada ya kupata Maji akawa anaingiza kwa kuvipanga kimoja kimoja.Vikinyonya maji vinatanuka ivo. Vilikua kama njiti ya viberiti.
Hamna ninachokielewa kwakweli 😃😃Huna utaalam?
Sema kweliHamna ninachokielewa kwakweli 😃😃
Ndo kama hivi nipo kuchukua madini hapa😌Sema kweli
Kama vikinyonya maji vinatanuka je kamba hiyo iliyofungwa nayo inatanuka?Vikinyonya maji vinatanuka ivo. Vilikua kama njiti ya viberiti.
Jamani hii live vijiti vikubwa hivyohivyo vimewkwa na ukichunguza vimefungwa kamba na kwenye kamba kuna nyuzi zimefunga kambaAu pia kamba inatanuka hivyo baada ya kupata Maji akawa anaingiza kwa kuvipanga kimoja kimoja.
Ila zaidi ni kuwa reflection of light inafanya tuvione vijiti kwenye chupa iliyo na Maji
Anaingizwa mtu ndani ya chupa, unashangaa vijiti?Mshana Jr na wadau wengine, hii kitu inawezekanaje? Vijiti vilivyokwishafungwa vinaingiaje humu? Hii ni live!
View attachment 2683748
Picha app yangu haifungui nifanyejeMshana Jr na wadau wengine, hii kitu inawezekanaje? Vijiti vilivyokwishafungwa vinaingiaje humu? Hii ni live!
View attachment 2683748
Alana nitageuza chips uone haojakatwaChupa ilikatwa kwa chini vikaingizwa halafu ikarudishiwa kama ilivyo hapo awali na kujazwa maji. Kwa plastic hili ni zoezi rahisi sana...
Kwa nini hili lifanyike Mshana atakuja kufafanua....
Japana haijakatwa nitageuza uoneH
Alana nitageuza chips uone haojakatwa
Kimoja baada ya kingine mpaka vikaeneaMshana Jr na wadau wengine, hii kitu inawezekanaje? Vijiti vilivyokwishafungwa vinaingiaje humu? Hii ni live!
View attachment 2683748
Mmhh!!! Hatari