Vijue vijiji vitano maarufu Tanzania bara

Mkapa kazaliwa Lupasu ila kakulia Kilimanjaro kiasi kwamba kule Lupasu anakwenda kula panya tu na ugali wa muhogo. Hata lugha yake ya kimakua kishaisahau kitambo, yeye ni kichagga na kisambaa tu.
 
Kuna vijiji ndio nimevijua leo!, lakini hebu tuongelee umaarufu hivi kuna kijiji maarufu kama GAMBOSHI Tanzania!?..
Hicho. Sio kijji ni eneneo la ushirikina huko kanda ya ziwa
 
Lushoto, Tanga. Umeua mkuu!!!!
 
Mkapa kazaliwa Lupasu ila kakulia Kilimanjaro kiasi kwamba kule Lupasu anakwenda kula panya tu na ugali wa muhogo. Hata lugha yake ya kimakua kishaisahau kitambo, yeye ni kichagga na kisambaa tu.
Mbutaa, acha utani, mtu asahau kwao wakati wengine wanajenga Airport
 
Kuna kingine kinaitwa kwamsisi kipo Tanga ni maarufu kwa ndumba simba na yanga zinapiganaga vikumbo huko
 
takwimu ya Twaweza.
bora yule jamaa alosema Gamboshi alipatia sana kwa asilimia kubwa,
yani ya hivyo vijiji ulivyotaja angalau Kolomije unaweza julikana na Butiama,ila vingine ni ✂
 
Lupasu na ngarash ndo nimevijua leo nadhani havikutajwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…