Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbutaa, acha utani, mtu asahau kwao wakati wengine wanajenga Airport
Mpare kibipi?
Sio kweli.. Mkapa amesaidia sana huko kwao na anaenda mara kwa mara
Kijiji cha kwanza cha ujamaa alichokianzisha mwalimu kwa ajili ya watu wa pwani/dar. Hata wimbo ulitungwa wa Gezaulele mamaaaaaa. Wahenga wa late 60s na early70s watauimba mpaka liamba maana enzi hizo ni RTD tuuuu.gezaulole ya wap hii mkuu
Ubenazomozi nacho hakikakumbuka astaghafyulillah!!!Nashangaa mmepasahau Samunge
nilijua ni ile iliopo wilaya ya HAI ambapo ndo makao mkuu ya wilaya ya CHADEMAKijiji cha kwanza cha ujamaa alichokianzisha mwalimu kwa ajili ya watu wa pwani/dar. Hata wimbo ulitungwa wa Gezaulele mamaaaaaa. Wahenga wa late 60s na early70s watauimba mpaka liamba maana enzi hizo ni RTD tuuuu.
hio lupasu na ngarash ndo kwanza navisikia, HAVINA UMAARUFU WOWOTE!Habari wana JF.
Leo nawaletea vijiji maarufu zaidi Tanzania bara.
1. Kolomije: Hiki kipo wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Hiki kilijipatia umaarufu kuliko vijiji vyote tangu march 2017. Hiki ni kijiji alichozaliwa Mheshimiwa Paul Makonda, RC Dar.
2. Butiama: Hiki kipo wilayani Butiama mkoani Mara. Huko ndiko alikozaliwa mwasisi wa Taifa hili Julius Nyerere.
3. Msoga: Hiki kipo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Huku ndipo anapoishi na nyumbani kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
4. Lupasu: Hiki kipo wilayani Masasi mkoani Mtwara. Huku ndipo alipozaliwa Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
5. Ngarash: Hiki kipo wilayani Monduli mkoani Arusha. Huku ndiko alipozaliwa Edward Lowassa.
NB: Chato sio kijiji bali ni mji na halmashauri iliyopo wilayani Chato mkoani Geita.
Nawasilisha.
Kuna uhusiano gani kati ya comment yangu na Hai au Chadema? Hivi huwa mnacomment kutumia vichwa au ????? malizia.nilijua ni ile iliopo wilaya ya HAI ambapo ndo makao mkuu ya wilaya ya CHADEMA
hivi ww ni mwanafunzi au hujui somaKuna uhusiano gani kati ya comment yangu na Hai au Chadema? Hivi huwa mnacomment kutumia vichwa au ????? malizia.
kiraracha ni kijiji alichozaliwa mwenyekiti wa paroli mh mremaHabari wana JF.
Leo nawaletea vijiji maarufu zaidi Tanzania bara.
1. Kolomije: Hiki kipo wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Hiki kilijipatia umaarufu kuliko vijiji vyote tangu march 2017. Hiki ni kijiji alichozaliwa Mheshimiwa Paul Makonda, RC Dar.
2. Butiama: Hiki kipo wilayani Butiama mkoani Mara. Huko ndiko alikozaliwa mwasisi wa Taifa hili Julius Nyerere.
3. Msoga: Hiki kipo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Huku ndipo anapoishi na nyumbani kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
4. Lupasu: Hiki kipo wilayani Masasi mkoani Mtwara. Huku ndipo alipozaliwa Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
5. Ngarash: Hiki kipo wilayani Monduli mkoani Arusha. Huku ndiko alipozaliwa Edward Lowassa.
NB: Chato sio kijiji bali ni mji na halmashauri iliyopo wilayani Chato mkoani Geita.
Nawasilisha.
mimi ni mkulima wa geza ulole kijiji cha kwanza cha ujamaaa Tanzania.hivi ww ni mwanafunzi au hujui soma
na mm nilishawai ishi mtaa moja upo wilaya ya hai unaitwa gezaulolemimi ni mkulima wa geza ulole kijiji cha kwanza cha ujamaaa Tanzania.