Vijue vijiji vitano maarufu Tanzania bara

Vijue vijiji vitano maarufu Tanzania bara

takwimu ya Twaweza.
bora yule jamaa alosema Gamboshi alipatia sana kwa asilimia kubwa,
yani ya hivyo vijiji ulivyotaja angalau Kolomije unaweza julikana na Butiama,ila vingine ni ✂
Acha bwana!!!!
 
Lupasu akifahamiki kihivyo kwani Mkapa yeye anajiita Mpare/Mchagga....na wananchi wa huko Lupasu wala hawana mpango naye kwani haonekani kabisa huko labda ashikwe tu na hamu ya kula panya then anaibukia huko ghafla kwa dakika kadhaa tu kisha anarudi kwao Lushoto na Kilimajaro.
Mpare kibipi?
 
Hicho. Sio kijji ni eneneo la ushirikina huko kanda ya ziwa
Wewe ndio hujui sasa, Gamboshi sio eneo ni kijiji kama kolomije!.. Bila kuruhusiwa au kuwa na teknolojia kama yao huoni maendeleo yao!.
Kama Wakanda!
 
Umesahau kijiji cha wavuvi kinapatikana kurasini ndpo daraja la kigamboni lilipopitia
 
Sababu kubwa ni kwamba Mkapa na Lowasa hakuwahi kuwa kwenye matukio ama vituko vilivyo sababisha nchi isimame, pamoja na kwamba wamewahi kushika nyadhifa za juu sana serikalini
 
Hiyo namba 5 haters wa Lumumba watakuambia itoe haina maana yeyote![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Habari wana JF.

Leo nawaletea vijiji maarufu zaidi Tanzania bara.

1. Kolomije: Hiki kipo wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Hiki kilijipatia umaarufu kuliko vijiji vyote tangu march 2017. Hiki ni kijiji alichozaliwa Mheshimiwa Paul Makonda, RC Dar.

2. Butiama: Hiki kipo wilayani Butiama mkoani Mara. Huko ndiko alikozaliwa mwasisi wa Taifa hili Julius Nyerere.

3. Msoga: Hiki kipo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani. Huku ndipo anapoishi na nyumbani kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete.

4. Lupasu: Hiki kipo wilayani Masasi mkoani Mtwara. Huku ndipo alipozaliwa Rais mstaafu Benjamin Mkapa.

5. Ngarash: Hiki kipo wilayani Monduli mkoani Arusha. Huku ndiko alipozaliwa Edward Lowassa.

NB: Chato sio kijiji bali ni mji na halmashauri iliyopo wilayani Chato mkoani Geita.


Nawasilisha.
Nanjirinji?
Geza Ulole?
 
Sababu kubwa ni kwamba Mkapa na Lowasa hakuwahi kuwa kwenye matukio ama vituko vilivyo sababisha nchi isimame, pamoja na kwamba wamewahi kushika nyadhifa za juu sana serikalini
Ina maana hivi vingine watoka huko ni watu wa matukio na vituko?
 
Chamwino
Namanyere(kutokana na hoja ya kukiombea maji hichi jijini Mbunge Kesi)
 
Lupasu akifahamiki kihivyo kwani Mkapa yeye anajiita Mpare/Mchagga....na wananchi wa huko Lupasu wala hawana mpango naye kwani haonekani kabisa huko labda ashikwe tu na hamu ya kula panya then anaibukia huko ghafla kwa dakika kadhaa tu kisha anarudi kwao Lushoto na Kilimajaro.
Sio kweli.. Mkapa amesaidia sana huko kwao na anaenda mara kwa mara
 
Back
Top Bottom