Vikao vya CCM Dodoma Vyaiteka Nchi. Habari zake Zatawala kila Kona Na Kuteka vyombo vyote Vya Habari, Maazimio Yake kutetemesha Nchi

Ndio nasoma hapa. Acha basi umbra. Watu wanakuwa bis hata hawajui hii kitu. Mmeshamtoa pm ?angalau kupotezea maboya watu jinsi mlivyo inkompitenti
Rais wetu mpendwa ndio anajuwa Nani wa kufanya Naye kazi na Nani akae katika nafasi ipi kwa hiyo usimpangie mh Rais habari za uteuzi na utenguzi
 
Nauliza tu "Hivi Mwanaume mwenye kihemuhemu na kihere here hata kwenye vitu vya ovyo ovyo mnamwita nani vile" ? Mliosoma vikurupushi,viambishi na vielezi mnisadie!!
 
Unaona matatizo waliyo nayo wananchi huduma za kutatanisha Rushwa kila Kona zinakufurahisha kuona Wapiga dili wanafanya mema.
Hii ni Kwa sababu ya kuchezea pesa za walipa Kodi kinyume na hapo Wala hizo vikao havingalifanyika!!!
Chini y uongozi wa mama Samia hakuna atakaye bakia salama ikiwa atabainika kufuja fedha za umma, kikubwa Tuendelee kumwamini mh Rais na kumpa ushirikiano,lakini pia waweza kutoa taarifa ukiona vitendo vya Rushwa katika maeneo yako ya kazi, mama Anayo dhamira ya dhati katika kuijenga nchi hii kuwa Bora na yenye maendeleo zaidi ya hapa ilipo
 
Naona unatafuta ajira kwa uchawa wako
 
CCM MTESAJI WA WANANCHI MIAKA 60 YA SHIDA ONA BINADAMU ANAVAA MASHATI 4 KWA UMASIKINI WA CCM ona Wanafunzi nguo walizovaa sababu ya Umasikini Ona Mwananchi anavyokamuliwa KODI mpaka anakonda hivyo
 
Ma huu umbeammeleta hapa anajua?Hakuna wa kumpangia ndio maana mambo yakigoma mkianza story sijui anajumiwa sijui nini tunawacheka tuu.
Rais wetu mpendwa ndio anajuwa Nani wa kufanya Naye kazi na Nani akae katika nafasi ipi kwa hiyo usimpangie mh Rais habari za uteuzi na utenguzi
 
Kumbuka nafasi za kuteuliwa zimejaa lakini.
 
Taifa lipi na nchi ipi wasiolipa Kodi au tozo au ushuru? Nchi gani iliyoendelea na kupiga hatua za kimaendeleo pasipo kubeba mzigo wa uwajibikaji wake mikono mwa wananchi wake, nchi gani ambako maendeleo yake yalishushwa toka angani, nchi gani ambako umaskini ulikwisha kwa kutegemea misaada na mikopo pekee?

Nchi zote zilizopiga hatua kimaendeleo zilipita njia hii tunayopitia sisi iliyotengenezwa na Rais wetu shupavu mama Samia, njia hii ndio njia ya kusonga mbele kwa haraka, hii ndio njia ambayo wazalendo wote huwapitisha wananchi wao Kama alivyofanya Rais wetu mama Samia, Ni CCM hii kupitia tozo na Kodi imefanya mapinduzi makubwa ya kimaendeleo katika kila secta na kila eneo ndio sababu ya Kuendelea kuaminika na watanzania wote, mfano majuzi hapa kupitia tozo kumejengwa vituo vya Afya takribani 234 na vyumba vya madarasa zaidi ya elfu nane na kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita
 
Ma huu umbeammeleta hapa anajua?Hakuna wa kumpangia ndio maana mambo yakigoma mkianza story sijui anajumiwa sijui nini tunawacheka tuu.
Rais wetu mpendwa mama Samia Ndio kiongozi pekee mwenye Taarifa zote za nchii hii na anapokea Taarifa za nchi hii kila Siku ya Mungu, anataarifa zote zinazohusiana na wateule wake na anawafahamu wateule wake vizuri kuliko unavyowafahamu wewe na mimi
 
Hapana, niko mtaani kama kawaida, ila mtaa kwetu hakuna wazee hivyo ni ngumu kusikia wetu wakijadili habari za hicho chama cha wazee.
Vijana kwa Sasa wapo pamoja na CCM baada ya kutambua ulaghai na ubabaishaji wa upinzani na wapinzani
 
Huyu taahira ninamblock kuanzia sasa nisisome nyuzi zake tena
Mimi nitakuwa ninazisoma zako nikiziona maana Ni lazima nifahamu mawazo ya wengine, Ndio maana chama chako Cha chadema kinazidi kudumaa na kufufua kwa kuwa hakitaki kukosolewa Wala kushaurika , lakini CCM Ni chama kinachojisahihisha na kwenda na wakati ndio sababu ya Kuendelea kuwepo madarakani Hadi leo hii
 
Got you 100%
 

Unatia huruma Sana.
 
Chama kimekaa madarakani zaidi ya miaka 60 bila ridhaa ya wananchi na eti kinategemea kuhujumu chaguzi na kufanya tu uporaji wa kura eti ndipo kibakie madarakani.

Chenyewe ndicho kinaandaa, kusimamia na kujitangaza eti kimeshinda kwenye chaguzi zao takataka hizo. Upumbavu mtupu. Mimi hata sijui kwamba hao wezi wa kura eti wanafanya sijui kikao sasa kinatuhusu nini hicho kikao. It's a total bull shit.
 
Eh

Ova
 

Attachments

  • IMG-20221112-WA0005.jpg
    38.9 KB · Views: 2
Shida umefakamia JF kwa spidi. Punguza spidi usiabike mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…