ISIS,Mujahideen etc.Huko mbona hapaeleweki asee.?
Kuna kundi lingine la waasi tofauti na Taleban?
Huko kumeshakuwa shamba la bibi kila mtu anataka kuchuma.ISIS,Mujahideen etc.
Marekani anawahofia sana ISIS kuliko mataliban,Hawa ISIS ndo walimuua kiongozi wa boko haramu-wana siasa kali mno,wakiachwa wanaweza kuwang'oa talibanHii shida sasa dola la kiislamu moto unawaka
Hata huku kwetu huwa wanatamani kuleta chokochoko ila wanaishia kula virungu tuHawa watu wa muhammad ni watu wa ovyo sana
Wanagombea utajiri wa opiumHuko kumeshakuwa shamba la bibi kila mtu anataka kuchuma.
muhammad hahusiki na huo upumbavu wa hao wa afghani kuwa na adabu wewe roho ya uovu..Hawa watu wa muhammad ni watu wa ovyo sana
Yaani serikali ndio imekuwa kama kikundi cha waasi yaaani ππHuko mbona hapaeleweki asee.?
Kuna kundi lingine la waasi tofauti na Taleban?
Na hapa itakuwa ni proxy war kati ya USA na RussiaYaani serikali ndio imekuwa kama kikundi cha waasi yaaani ππ
ISIS na Taliban wote wanaimani moja ila misimamo tofauti kabisa,ISIS wana siasa kali sana kuliko Taliban.Ndo maana hata ukiangalia syria,IRAN na washirika wake wanapambana nao wasiweze ku-exist sababu ya iman yao.Hata kiongozi wa kidini anayeheshimika IRAQ-Cleric Grand Ayatollah Ali-Sistan aliwaamuru waislamu wote waungane kubeba silaha ili wapambane nao wasiwepo IRAQ.Mi nilidhani ni taliban na serikali ndo vina mvutano, yaani kuna ISIS tena. Kumbe ndio maana watu walikua wanaikimbia nchi yao walijua tu kitanuka.
Sada hao ISIS na taliban si wote waislam au wametofautiana kipi tena.
Na mataifa makubwa yanaitumia hiyo nchi kwenye mambo yao, china kwenye taarifa zao wanapasifu sana na kujaribu kuisafisha taliban kwa dunia. Na marekan na washirika wake ni kinyume wao wanaichafua na kuonesha hakuna amani, na hii habari lazma umeitoa huko kwa wana USA. Mchina na mmarekani wanafki sana aisee.
Marekani ndo anafinance ISIS kama hujuiMarekani anawahofia sana ISIS kuliko mataliban,Hawa ISIS ndo walimuua kiongozi wa boko haramu-wana siasa kali mno,wakiachwa wanaweza kuwang'oa taliban
Mkuu nimeona kwenye mtandao kilo moja ya opium ni $16,000.Wanagombea utajiri wa opium