Vikosi vya waasi vyakomboa miji mitatu mikubwa kutoka utawala wa Taliban

Vikosi vya waasi vyakomboa miji mitatu mikubwa kutoka utawala wa Taliban

ISIS na Taliban wote wanaimani moja ila misimamo tofauti kabisa,ISIS wana siasa kali sana kuliko Taliban.Ndo maana hata ukiangalia syria,IRAN na washirika wake wanapambana nao wasiweze ku-exist sababu ya iman yao.Hata kiongozi wa kidini anayeheshimika IRAQ-Cleric Grand Ayatollah Ali-Sistan aliwaamuru waislamu wote waungane kubeba silaha ili wapambane nao wasiwepo IRAQ.
Labda ISIS nu Sunni ndiyo maana washia wa Iran hawaipendi.
 
ISIS na Taliban wote wanaimani moja ila misimamo tofauti kabisa,ISIS wana siasa kali sana kuliko Taliban.Ndo maana hata ukiangalia syria,IRAN na washirika wake wanapambana nao wasiweze ku-exist sababu ya iman yao.Hata kiongozi wa kidini anayeheshimika IRAQ-Cleric Grand Ayatollah Ali-Sistan aliwaamuru waislamu wote waungane kubeba silaha ili wapambane nao wasiwepo IRAQ.
Daah aisee mkuu kama ni hivyo basi Afghanistan ndo kwaanza safari inaanza, watawakumbuka wamarekani na sidhani kama hao ISIS wanaweza kubali kukaa meza moja na taliban na serikali ili wawekane sawa.
 
Kama ISIS kaingiza mguu wake huko, basi naanza kuelewa kwa ninj USA taratibu kaanza kuondoka Afghan...

Huenda ameshanusa kuwepo wa vita isiyokoma leo wala kesho...
Wachambuzi wanasema Afganistan kutatokea civil war ambayo itakuwa too costly kwa Russia na China,kwa sababu tatizo litakuwa kwenye mipaka zao-Pia china na russia wanahofia ugaid utaingia nchini mwao.
 
Daah aisee mkuu kama ni hivyo basi Afghanistan ndo kwaanza safari inaanza, watawakumbuka wamarekani na sidhani kama hao ISIS wanaweza kubali kukaa meza moja na taliban na serikali ili wawekane sawa.
ISIS ndo kundi linaloogopeka sana-Angalia tu shida yake hapo mozambique-Nchi karibu nne zimeingia kupambana nao 🤣 🤣 🤣 .ISIS ya syria wanapambana na majeshi ya US,Russia,Turkey,Iran,Syria,SDF na kadhalika na bado hawajaisha
 
Mi nilidhani ni taliban na serikali ndo vina mvutano, yaani kuna ISIS tena. Kumbe ndio maana watu walikua wanaikimbia nchi yao walijua tu kitanuka.

Sada hao ISIS na taliban si wote waislam au wametofautiana kipi tena.

Na mataifa makubwa yanaitumia hiyo nchi kwenye mambo yao, china kwenye taarifa zao wanapasifu sana na kujaribu kuisafisha taliban kwa dunia. Na marekan na washirika wake ni kinyume wao wanaichafua na kuonesha hakuna amani, na hii habari lazma umeitoa huko kwa wana USA. Mchina na mmarekani wanafki sana aisee.
ISIS Sunni Taliban Shia
 
Taliban bado hawajatoa baiyah kwa Isis, na hata walipovamia magereza na kuwatoa wafungwa wote wa Isis waliachwa ndani na kuambiwa subirini mupelekwe mahakamani, hao waasi walioteka hizo wilaya 3 ni katika makundi ya makamo wa rais ahmad masoud aliyekimbilia panjshir, Isis ni mziki mwengine nd soon wataanza harakati zao hapo khorosan
 
Dunia inaenda kasi sana mkuu 🤣 🤣 🤣 -Basi tu😳😳,Inawezekana siku ina masaa 48 kama alivyosema meko 🤣🤣🤣
AM1hnY.jpg
 
Back
Top Bottom