yorkshire
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 2,525
- 3,139
nilikuwa na miaka -500Taliban walishamaliza vita.....hizi mpya unazozisikia ni vita za kwenye media," 2001 ulikuwa na umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilikuwa na miaka -500Taliban walishamaliza vita.....hizi mpya unazozisikia ni vita za kwenye media," 2001 ulikuwa na umri gani?
watu kama nyie wenye mawazo mgando mnalifanya bara la africa lionekane la mataahira na bara gizaTaliban walishamaliza vita.....hizi mpya unazozisikia ni vita za kwenye media," 2001 ulikuwa na umri gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huko mbona hapaeleweki asee.?
Kuna kundi lingine la waasi tofauti na Taleban?
Mawazo tofauti na yako unaita mawazo mgando? ...pole sana son, natumaini ukikua kiakili utabadilika.watu kama nyie wenye mawazo mgando mnalifanya bara la africa lionekane la mataahira na bara giza
Shida ya hawa wapumbavu upenda kujifichia kwa raia Ili kujilinda.Sasa kipi bora uue wote hata wasio na hatia Ili kuwarudisha haraka wapumbavu kuzimu.Au ufate haki za wasio hatia Ili wapumbavu wazidi kuuwa wasio na hatia
wapo kimya..sabau sio wa Shia labda.Hivi Iran inasemaje juu ya Taliban?
Hata hao mujahedeen (Taliban) yeye ndio aliwapa mafunzo na support wale wakati wanapambana kujiondoa USSR.Marekani ndo anafinance ISIS kama hujui
Emesema kweli tupu.Mungu akubariki wewe na uzazi wako.muhammad hahusiki na huo upumbavu wa hao wa afghani kuwa na adabu wewe roho ya uovu..
Kuna makundi kibao ya kikabila kuko kama SomaliaHuko mbona hapaeleweki asee.?
Kuna kundi lingine la waasi tofauti na Taleban?
😆😆😆😆 Inaitwa Afghanistan the graveyard of empires.On 20th August Opposition fighters loyal to Afghanistan's ousted government retake three northern districts from the Taliban just days after the Islamist group reestablished its control over most of the country.
The Taliban swept through Afghanistan, taking most of its 34 Afghan provincial capitals in about nine days. -VOA & Reuters
Makundi mbalimbali ya waasi pamoja na kikundi cha dola ya kiislamu vimefanikiwa kuteka miji mikubwa mitatu nchini Afganistan baada ya mapambano dhidi ya vikosi vya Talibani
🤣 🤣 🤣 🙌 🙌😆😆😆😆 Inaitwa Afghanistan the graveyard of empires.
Hakuwezi kuwa na amani huko kwa kina Rostam,the King maker 😁😁
ISIS,Mujahideen etc.
Opportunity Cost 🤣 🤣 🤣Aisee 😁😁 unachotaka ni nini kwa waisilamu mzee!!!! Sasa Isis wameingiaje tena huko!!!! Mbona wawalisha watu uongo.
muhammad hahusiki na huo upumbavu wa hao wa afghani kuwa na adabu wewe roho ya uovu..
aaaamyn kwa sote mkuu..Emesema kweli tupu.Mungu akubariki wewe na uzazi wako.
Latest-Makundi yenye affiliation na al-Qaeda yameshaanza kuungana na wao wanataka kuiangusha serikali ya Pakistan.Wameshaanza kwa kuanza kushambulia chinese interests ndani ya pakistan pamoja na vyombo vya usalama.😆😆😆😆 Inaitwa Afghanistan the graveyard of empires.
Hakuwezi kuwa na amani huko kwa kina Rostam,the King maker 😁😁
Yes, likely mkuu,Taleban haitatawala kabisa, very soon wanapinduliwa,tega sikio mkuuSo US ameondoka lakini ameacha jamaa wa kushughulika na Taliban!!!?
Inawezekana mkuuMarekani ndo anafinance ISIS kama hujui
ISIS wameshaanza kulipua mabomu huko,Yes, likely mkuu,Taleban haitatawala kabisa, very soon wanapinduliwa,tega sikio mkuu
🤣 🤣 🤣watu kama nyie wenye mawazo mgando mnalifanya bara la africa lionekane la mataahira na bara giza