Kweli kwa akili yako kabisa , unaamini wanamgambo wa Yemen na silaha zao dhaifu ndo washinde jeshi la Israel, USA, UK? Mlianza hivo hivi kuwa Hamas watamnyosha mtahudi, mara Israel akiingia Gaza Iran anaingilia vita, mara hezibollar wataingia Gaza. Leo yako wapi? Wapalestina wamepoteza maisha yao huko viongozi wa hamas wako Qatar wanakula maisha.