Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Wao kama TUME ya uchaguzi walishindwa kuchua hatua pale sheria zilopopindishwa na wagombea wao wa kijani leo wanapata wapi nguvu ya kutoa kauli hii. Acha wapate adhabu hiyo inayowastahili tena hawa majaji wanapenda saana kudhurula wataishia kuzunguka Africa na nchi za karibu karibu tu!
 
List ni ndefu sana, hadi Nape Nnauye yumo...

Tume yote ya Uchaguzi

Simon Sirro

Humphrey Polepole

Bashiru Ali

Kalamaganda Kabudi

List ni ndefu mno, wanajuana wenyewe Ubalozi wa Marekani wanauona kama Jehanamu
Hadi Freeman yumo!
 
vp awamu zilizopita ulificha wap zile million zako zmeshindwa kukusaidia mpaka sasa?
 
NEC ni tatizo, mnajuwa mlivyo ingilia uchaguzi, halafu mnataka watu wakapoteze muda mahakamani, eti kama mkuridhika, nani ataridhika kwa mliyofanya? Mmeagizwa kuaribu na mmetekeleza, na amujali kitu mnajigamba hamtishi eti taifa huru, huru linaloiba kura? Nani amewalazimisha muitishe uchaguzi?
 
Uliingiliwa kwa kura za mabegi.MTU mmoja anakuwa na begi zima anatumbukiza
 
Hivi Corona kwa nini isipite na huyu jaji?
 

 
Nani anataka kwenda marekani?

Mabeberu wanatuonea wivu kwa sababu tupo Uchumi wa kati na RAIA WOTE wa Tanzania wanamaisha mazuri sana tofauti na zamani
Wewe kenge kweli, unaposema hivyo unatumia ubongo au makalio?
 
"VIONGOZI MAVI" I like it.
 
Wewe kenge kweli, unaposema hivyo unatumia ubongo au makalio?
Mkuu mabeberu hawaamini kama hio Midege yote angani tumenunua cash bila mikopo
Roho inawauma kwetu elimu ni bure kwao ni pesa
Kwetu huduma za afya ni bure kwao pesa
Kwetu maisha yanakuja rahisi na mazuri kwao Yanapanda na maisha yao ni mabaya kuliko kwetu
Wanaamini siku moja watakuja kutafuta ajira Tanzania Ndio maana wanaona Gere
Kweli Tanzania ya Magufuli neema tupu isipokua kwa wapiga dili Yaani lazima waumie tu maana mianya imeziba kabisa
 
Hao NEC hawana lolote zaidi ya kupoteza muda tu,na kama wanaona hawaogopi basi waende huko USA waone cha mtema kuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…