Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

Chanzo mkuu umesahau!
Halafu nawao tuwape vikwazo haiwezekani uchaguzi wao nao ukawa wa fujo kiasi kwamba mpaka Watu wakapoteza Maisha.
Au kunya anye kukutu akinya bata kaharisha!
 
Viongozi wote wakuu, Raisi, makamu, waziri mkuu, IGP, mkuu wa majeshi, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi,na wote waliosimamia uchaguzi kwa kofia ya tume, Spika, naibu Spika, Hawa wote hawastahili kupata visa ya kwenda, USA, UK, canada, Wapewe na vikwazo vya kiuchumi.
Kuna ulazima wa kwenda Kwao?
 
Haya matoto bwana

Yanajiongelesha ongelesha kama mavichaa

Eti "hawajasema wanachokilalamikia"....etc etc

Wacha wajifanye kutokuelewa,wataelewa vizuri

Na atokee kiazi mwingine aongee mbovu kuhusu USA tena,wataona new SEC of State atanyanyua ban to higher state ya "Kuvunja Haki za Binadamu"

Sasa hivi wameachwa kwenye "Kuvuruga Uchaguzi Mkuu".

Sasa watokee vibaraka wa serikali watoe matamko ya kipumbavu kuidharau USA waone next step!

Maana hii aliitoa Pompeo pale tu jiwe alipotoa maneno mabovu kwa US mbele ya balozi wa UK alipokua anafungua shule ya Ihungo....

Baada ya matamko yale tu,in an hour or so,Pompeo ka-launch ana arsenal,uzuri hajataja watu,bado list ni confidential

Siku kapumbavu kama sijui Ole Sabaya kanaenda kuomba visa popote,kanapigwa decline ndio mtajua whats up!

Na hii sio kwa hivi vijiongozi mavi mavi tu,hadi familia zao,any binadamu related to these monkeys!

Na uzuri wa Ban ya USA ni worldwide,sio eti kwenda USA pekee yake,mzee ni worldwide hata kwenda hapo Kenya....

Now you get the fvcking picture how dangerous this is!
Mkuu uongo nikitaka kwenda China atanizuia?
 
Chanzo mkuu umesahau!
Halafu nawao tuwape vikwazo haiwezekani uchaguzi wao nao ukawa wa fujo kiasi kwamba mpaka Watu wakapoteza Maisha.
Au kunya anye kukutu akinya bata kaharisha!
Kwani wao wamekataa, nadhani tunaweza kuwawekea vikwazo tu.

Kwa mfano tunaweza kuzuia kuwauzia Tanzanite, nasi turingie cha kwetu.
 
Yaani mkuu Ukitaka kuishi kama sultani kwenye awamu ya huyu Rais mwema mwenye Moyo wa huruma na upendo kwa RAIA wake
Tii sheria bila shuruti
Lipa kodi
LA sivyo utaumia sana maana mianya ya wapiga dili imeziba kabisa
Safi sana kiongozi
 
Hivi maisha gani yamekuwa mazuri?

Hivi kufunga fremu za bishara kibao huko Kariakoo ndiyo unayaita, mafanikio ya utawala huu wa awamu ya tano?

Ama kweli kama alivyoongea Jiwe, anataka matajiri waishi kama mashetani!
Kama ulikuwa na biashara fake lazima uifunge kwani hakuna tena mianya ya upigaji.
Mbona Watu wapo wanapiga tu kazi na faida wanapata. Wale waliofunga Maduka kariakoo kaanao vizuri uwaulize kiundani nini tatizo lazima kuna kitu mkuu.
 
Naunga mkono hoja, vikwazo zaidi na viwekwe toka mataifa rafiki wa Marekani, UN na Umoja wa Ulaya, labda hawa watawala wetu wataacha jeuri ya kuvunja haki za binadamu
Hivi marekani yeye anafata haki za binadamu siyo!
 
Uyu Kaijage yaan Mahakama za Tanzania ndio zifanye hukumu ya ukiukwaji wa uchaguzi uliofanyika Tanzania?
 
Back
Top Bottom