Vikwazo vyaathiri uchumi wa Urusi


kila mtu vinamuathiri lakin russia [emoji635] vinamuathir zaid ndo mana hajaweza kususa kupeleka gas Ulaya maana nae hana uwezo wa kufanya counter attack kwa kuwanyima gas.
maana hana njia nyingine ya kusurvive.
Angekua nayo angekua wakwanza kuitumia.
 
Kingine ni kwamba hao north Korea na Iran wamehimiri vikwazo sawa lakini hawako kwenye vita ya Moja kwa Moja na taifa lolote kama ilivyo urusi, urusi kapigwa vikwazo,halafu wakati huo huo anatumia mabilion kila siku kufadhili vita vyake huko Ukraine,hapo lazima uchoke tu,
 
hahahaaa huo ndo ukwel
 
usiziamini serikali za kidikteta , kiduku alisema hakuna korona mpk ilipompata the same kwa Rais wa brazil
 
toka km 11 kuingia kyiev had mipango ya Odessa , Hongera Andunje Putin unajua kutufurahisha , mwaka tutakuwa tubapigana kuingia Crimea
 
Sio kweli bia tamu. Wazungu wa kimarekani uwezi gombana nao ukapona kiuchumi

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Huawei mobile company ilipambana na USA kuhusu 5g. Sasa ivi hii kampuni imeanza kupungua kusikika apa duniani. Nadhani inapoelekea ishafika kibra

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Russia imefika ngapi?

Data za Nchi za magharibi si kila siku unazisoma mtandaoni, kuhusu uchumi wa Russia unapata taafifa zake kutoka ktk sources mbalimbali kama hao wa Ulaya na Magharibi?
Kama hamupati mlijuaje kwamba GDP ya RUSSIA sawa ba GDP ya jimbo moja huko yuesi ei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliokwambia kama GAS na WESE la RUSSIA mapato yamepungua nani !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanao kimbia Russia sio wajinga wanakimbia na Mengi. vikwazo alivo navyo ni Nyokwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…