Vilabu 15 NBC havijapata mgawo wowote miezi 3

Usilazimishe Wote Tuikubari hiyo GSM yako
Kikubwa Wamesepa na Wasepe
SIMBA HOYEEEE
 
Naskia lengo halisi lilikuwa kuitumia Simba SC, kutangaza bidhaa zao kimataifa.
Kwenye mashindano ya Shirikisho.

Kama Simba walikataa kudhaminiwa si wangezidhamini hizo timu nyingine ikiwemo timu yao ya Yanga.

Mkuu kuna vitu ukisikia uwe watulia na kutafakari...

GSM alikuwa anadhamini ligi ya NBC, na jezi anazotumia Simba kwenye ligi ya Bongo sio zile anazotumia kwenye mechi za CAF...

Sasa Simba angemtangaza vipi GSM kimataifa?
 
Mzima,kila siku vinailalamikia GSM hata kwa penati za mchongo wanazopewa wakikosa lawama kwa GSM
GSM katoa huo mzigo tff ili uje kuongeza nguvu Yanga,makolo match 13 penalty 8 goli za offside 7 halafu kila siku wanaleta propaganda za hata kolo akisikia mkewe kaliwa anailalamikia GSM
 
Acheni unafiki ipo siku zitatembea bakora hapo tifua tifua ndiyo akili itawakaa sawa
 
View attachment 2111982
Hayo ndio makubaliano ya GSM na TFF na wameshindwa Kuyatimiza, hata kama ni wewe mdhamini hauwezi hauwezi kutekeleza udhamini wako kama makubaliano ya kimkataba hayajatimizwa
Tuwe wa kweli...kama Mo angechukua nafasi ya GSM akaidhamini Ligi Kuu.. Unadhani Yanga wasingesumbua?!..Jibu ni hapana..Mpira wa Bongo bila kuzisikiliza hizi timu mbili TFF haina nguvu..
Hata kama walichofanya Simba kisheria na Kikanuni wamekosea,kilitegemewa tu, na Yanga wangefanya hivyo hivyo mdhamini angekua Mo..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Kwanza vigodoro vyake vina material mabovu afu ukilalia vinakuotesha ndoto mbaya ukiamka umechoka

Watu wengi wanaolalamika kwamba wachawi wamewalimisha usiku ukichunguza wengi hao wanatumia magodoro ya GSM
[emoji23]
 
Sasa vilabu vingepata vipi mgao wakati kulikuwa na mgogoro wa kimkataba?

Simba hakuwa tayari, hadi hapo GSM asingeweza kuendelea na mkataba na TFF...
Kwa hiyo shida yake ni Simba?
 
Magodoro hayauziki atalipa na nini
 
Masharti ya mkataba yalifatwa. Ww timu yako ilikataa kuitangaza GSM[emoji2] haukuw mkataba unaoiacha Simba na kuhusisha timu zingine pekee.
Kwa hiyo mlikuwa mnaitaka Simba hahahaaaaaaa godoro limelowa maji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…