Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Naomba watu wenye ujasiri wa kuitazama TBC wanithibitishie jambo hili , nahitaji kulijua ili nijifunze kitu fulani .
Natanguliza Shukrani .
Natanguliza Shukrani .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba vinaendelea au vitaendelea ?itarndelea
Ujue ndio uko unaangalia muda huu! Mzalendo weweHahahahahahaha.....hahahahahaa nacheka kama mazuri
🤣🤣....namchek dina marios tvE...sina damu hiyo mkuuUjue ndio uko unaangalia muda huu! Mzalendo wewe
Hv ile mishe bado unaendelea nayo besr😄😄😄 inabidi wafute video clips tu.
Kishindo cha awamu ya 5
Awamu zilizopita ilikuwa inatekeleza ilani ipiitaendelea.
Kumbuka CCM inatekeleza ilani yake kama kawaida kwani ina mkataba na wananchi
Ficha upumbavu wako mkuu.
Ayubu Rioba aondolewe haraka
Hahahaah!Jamaa una hasira kishenzi yaaniUsiforce tufanane we fala.
Cm yangu, budle langu na akili natumia zangu. Labda kama unataka NIKULETEE MOTOO!!!
Vinginevyo usishiriki utaahira wako na mm mbwa we[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Tujifunze kuwa wavumilivu kidogo katika kujibizana.Usiforce tufanane we fala.
Cm yangu, budle langu na akili natumia zangu. Labda kama unataka NIKULETEE MOTOO!!!
Vinginevyo usishiriki utaahira wako na mm mbwa we😈😈😈😈
Chadema mmejiandaa vipi kuchukua kitiNaomba watu wenye ujasiri wa kuitazama TBC wanithibitishie jambo hili , nahitaji kulijua ili nijifunze kitu fulani .
Natanguliza Shukrani .
Lazima ajadiliwe tuChadema mmejiandaa vipi kuchukua kiti
cha uraisi 2025!!??
vipao mbele vyenu ni vipi kwenye sera ya kukuza uchumi!!?
hizi ndio mambo mnatakiwa kujadili acheni hizi cheap politics. Magu ashakuwa nyama ya udongo sshv...