Anko Bantu
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 832
- 1,034
Yaani mwanamke mmoja anakutoa kamasi,sasa ungekuwa nao wengi kama Mfalme Suleimani. Si tuliambiwa tuishi nao kwa akili.Ukiishi na KE,ishi nae kijasusi,na hakuna adhabu ya kumpa KE kama adhabu ya kisaikolojia.