KERO Vilio shida maji: Wananchi Dar wadai kuona kwenye Tv Rais kumtua mama ndoo ila hawajui inatuliwa wapi

KERO Vilio shida maji: Wananchi Dar wadai kuona kwenye Tv Rais kumtua mama ndoo ila hawajui inatuliwa wapi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Leo kwenye kipindi cha asubuhi cha Wasafi fm wameruhusu kupokea simu za malalamiko ya ukosefu wa maji, kwa hakika ni huzuni na masikitiko makubwa inaonekana eneo kubwa sana la jiji la Dar halina maji kulingana na uwingi wa simu zilizopigwa.

Wapo walioenda mbali zaidi na kusema wamekuwa wakiona kwenye tv matangazo ya eti Rais amemtua mama ndoo kichwani wanajiuliza ni mama yupi na wa wapi katuliwa hiyo ndoo?

Wizara ya Maji

Pia soma:

 
Leo kwenye kipindi cha asubuhi cha wasafi fm wameruhusu kupokea simu za malalamiko ya ukosefu wa maji, kwa hakika ni huzuni na masikitiko makubwa inaonekana eneo kubwa sana la jiji la dar halina maji kulingana na uwingi wa simu zilizopigwa.
Wapo walioenda mbali zaidi na kusema wamekuwa wakiona kwenye tv matangazo ya eti rais amemtua mama ndoo kichwani wanajiuliza ni mama yupi na wa wapi katuliwa hiyo ndoo?
Wawaulize ChoiceVariable na chiembe
 
Mwakani mtapata maji kwa muda, umeme hautasumbua, mtapata vumbi la kutosha barabara mitaani zikikwanguliwa.
Mwisho mutapewa kofia na t-shirt zenye picha kubwa.
Vijana mtapewa mipira na jezi, kwani wanajua vijana wa kibongo hawana zaidi ya hapo.
Waandishi wa habari nao neema itafunguka kwao.
 
Suala la maji, serikali ime perform very poorly, lakini ndio kila siku wanajisifu na kutua ndoo ambazo hazipo.
 
Ccm oyeeeeeèeeeeeeeeeeee.
Misukule ikaitika oyeeeeeeeeeeeeeee
Wapinzani wametuchelewesha sana guys.
Sasa tunatekeleza, tunasonga mbelee
Hakuna maji mjinga mmoja anahoji zilipo pesa za join the chain?????
 
Back
Top Bottom