Kuna mambo yanapendeza sana...Nashauri shemela aachwe apumzike, mweyewe hata hanaga maneno mengi....akitua hapa neno moja tu "ngoja tuone" "watakuja kutoa mwongozo" aiiiii shemelaaaaa we sio chiriku kabisa.
Ukisikia kuokota dhahabu mchangani ndio huku sasa, shunie umeokota.
Shemela, za jioni.....Kuna mambo yanapendeza sana...
πNacheka mimi
Yupo hapa tangu saa kumi, nadhani yupo na pop corn....Anapita kama hayupo[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yupo hapa tangu saa kumi, nadhani yupo na pop corn....
Ajitolee binti wa watu humu nimspoil ili nipate kuleta mrejesho.
π€€π€€π€€π€€π€€π€€π€€[emoji3060][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tunakuja
Ama kweli meza imepinduliwa kibabe sanaShemela, za jioni.....
πππ Naomba kapo yangu pendwa iachwe kabisa, waachwee wakule raha....Ama kweli meza imepinduliwa kibabe sana
Nipo Mama.Umepotea sana we mzee, za siku....
We jipe tu, hapa hamna wa kutoa muongozo hadi sasa....πNipo Mama.
Nasubiri nipewe mwogozo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makiseo nakuona nakuona.....[emoji2760]
Unafatilia kwa karibu [emoji16]
Sare ikitoka usinisahau[emoji23][emoji23]Anapita kama hayupo[emoji1787]