Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Halafu mambo ya jf id nyingi usikute shemela smart ndio wewe BAK [emoji23]
Sina Hamu na hizi ID
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mambo ya jf id nyingi usikute shemela smart ndio wewe BAK [emoji23]
Kuna kitu umefanywa sio bure....hebu nambie.Sina Hamu na hizi ID
Halafu mambo ya jf id nyingi usikute shemela smart ndio wewe BAK 😂
Sina Hamu na hizi ID
cc Evelyn SaltKubwa kuliko kutongozwa na mtu mmoja mara mbili
unakutana nae kumbe ni dear Ex
wababa wa JF jamani!
Hahhahah dahWee ni chombo
Tusimwage mchele ila unajua
Mkuu nipe jina lake, nikashuhudie na kutoa sifa, kisha nikae kwa kutulia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana banaaaa mie hilo la kumiliki ID zaidi ya moja limenishinda. Mwandiko wangu umekaa upande upande si wa kawaida hivyo ni rahisi KUSTUKIWA. Kule FB kuna kimwana kimoja kina rangi kama Shunie halafu style yake ya Nywele kama Shunie basi mimi huenda huko kumtizama tuuuuu kisha najisemea wakubwa WANAFAIDI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuiombee tu idumu kwakweli. Mkwe kama mkwe[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Hahaha dah watu mna kumbukumbu....
Tuachane na hayo, ishu ya msingi sahivi ni hili penzi jipya [emoji23][emoji23][emoji23] tuwaombee wapendane, waoane asipite jini mkata kamba
Mkuu nipe jina lake, nikashuhudie na kutoa sifa, kisha nikae kwa kutulia.
[emoji1666]Sifanyi hiyo kitu ya kuchukua majina kule na kuyaleta humu.
Sasa unakuja kumjuaje 😁
Auntie utulie tu nina machungu ya muda mrefu mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahhaha michango yote auntie si utaila jamani
Mdau alioa kabisa ila bdei ya bidada juzi kakonfirm wameachana....Kuna jamaa anajiita smart sijui wamepotelea wapi na yule demu wake, jamaa ilikuwa kila akicoment lazima amutagi demu wake
EX wako usimjue mama?Sasa unakuja kumjuaje 😁
Muda huo anakuijia na id nyingine anapima upepo? Anataka kurudi? Au ankutafuta tu la rohoni.... nimecheka.EX wako usimjue mama?
anataka kurudi pale unapojifanya unakazaMuda huo anakuijia na id nyingine anapima upepo? Anataka kurudi? Au ankutafuta tu la rohoni.... nimecheka.
[emoji23][emoji23][emoji23]naona mtaalam wa kitengo ulipotea sana!!Mai lavu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]naona mtaalam wa kitengo ulipotea sana!!