Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Nataka kujifunza kutongoza, mdada yeyote anayependa kujitolea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana siku hizi sina hizo interest, vitoto vingi!! Miaka ya nyuma nilishakutana na wengi tu, wake kwa waume kwa mambo mbalimbali! Kifupi, JF ilikuwa ni more than msaada!!Lakini usije ukawabwagia siri zao huku public.najaribu kuwaza kwa mapana tu😎
Na ID za wanaume ni za mademu.Kwani JF kuna mademu??
Me najua ID za kike humu ni za wanaume tu.
Basi tu yani ni upuuzi mwingi na utoto wa kutosha.yani mkutane huko kwa mapenzi yenu mshindwane...uje umwage upuuzi wenu huku public!Ndiyo maana siku hizi sina hizo interest, vitoto vingi!! Miaka ya nyuma nilishakutana na wengi tu, wake kwa waume kwa mambo mbalimbali! Kifupi, JF ilikuwa ni more than msaada!!
[emoji3][emoji3][emoji3]daahh...wantoa jasho bwana nambie tu life linipige na hata umbea wa humuKwakweli nawe uumize kichwa mi sikuambii kitu, mwenyewe nilihangaika sana hadi kifua kilibana kwa kukaa na maneno sina pa kuyaongelea.....[emoji16]
Mai lavu!!Usicheke, niambie kama ninavyowaza ndivyo au sio!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umufundise....
Sikuwepo mtifuano urudiwee urudiwee....😂😂
Nakazia shunie aachwe jamani, aachwe apumue ale raha hadi raha ziombe pooEbu niache kwanza we dada
Hamna dhambi kumfata mwanaume kama umemuelewa, haujakosea boss....yani uko sawa 😁Hapana auntie naanzaje mimi nimfate mwanaume kweli
HahahhahhahaAuntie huwa sikosei mimi. Asije tu akawa kama wale panya wako ahadi hazitekelezwi[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kwakweli siikumbuki hiyo siku....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwana ulikuwepo mbona!! Tena ulitema cheche za hatari bibie akabaki anajichekesha chekesha tu.
Mie nasubiri Shunie alete utambulisho rasmi nidai vitenge kwa mkwe[emoji126][emoji126][emoji126]
Ilikuwa chit chat sijui mwaka gani uleKwakweli siikumbuki hiyo siku....
Yani hii kapo naiombea heri, wapendane sana.
Shunie ntakuambia nakuja kuja pm kukupa hata vitips vya kumburudisha shemela [emoji23][emoji23]. Hii kapo ilete ndoa Amen
Naona kiingereza kwako kigumu zaidiNope ila kweli kiswahili huwa kigumu kwangu
Hahahahaha nakumbukaHalafu aliingilia tu hata hakutajwa, akasema kanunua ugomvi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki nilicheka ile siku. Eve kanishinda tabia.
Aweeeh [emoji847]Nakuamini kidogo auntie, hebu mlete mkwe nyumbani nimchinjie kajogoo jamani.
Nashauri shemela aachwe apumzike, mweyewe hata hanaga maneno mengi....akitua hapa neno moja tu "ngoja tuone" "watakuja kutoa mwongozo" aiiiii shemelaaaaa we sio chiriku kabisa.@Smart911 ebu njoo uwajibu
😂😂😂😂😂 Daaaah yani kumbukumbu hazikuji, kumbe hii kapo nilianza kuifaitia kabla haijaexist...Halafu aliingilia tu hata hakutajwa, akasema kanunua ugomvi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki nilicheka ile siku. Eve kanishinda tabia.