Vimbwanga na Visa vya mahusiano ya JF

Vimbwanga na Visa vya mahusiano ya JF

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aaah ulikuwa mtifuano hatari, wengine tukabaki tu tumeduwaa maana kati ya watetezi wake nami nilikuwemo sasa nikashangaa hayo mambo meusi yametokea wapi. Ndio ukaja kuliendeleza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha kama vile nimekumbuka, ila sio kwamba niliibuka tu from no where, zilikua zinatajwa kapo mtu akauliza ni wale cc flani cc flani nikasema hapana sio hao.
Halafu sasa huyo cc ndio akaja kusema mimi nilimsema nini sijui, ndio nikamind nikaweka na ile screenshot kwamba hakua yeye, muda huo kaishachaaamba wakati hata sikuwahi kumuongelea
Ni zamani sana nadhani 2016 hahahahha
 
Kwakweli siikumbuki hiyo siku....
Yani hii kapo naiombea heri, wapendane sana.
Shunie ntakua nakuja kuja pm kukupa hata vitips vya kumburudisha shemela [emoji23][emoji23]. Hii kapo ilete ndoa Amen

[emoji2368][emoji2368][emoji854]
 
Hahaha dah watu mna kumbukumbu....
Tuachane na hayo, ishu ya msingi sahivi ni hili penzi jipya [emoji23][emoji23][emoji23] tuwaombee wapendane, waoane asipite jini mkata kamba

Natamani niingie kwnye maombi ila sijaelewa
 
Anapata tabu sana!!! Hili bandiko lako linabidi litunzwe sana.


Nashauri shemela aachwe apumzike, mweyewe hata hanaga maneno mengi....akitua hapa neno moja tu "ngoja tuone" "watakuja kutoa mwongozo" aiiiii shemelaaaaa we sio chiriku kabisa.

Ukisikia kuokota dhahabu mchangani ndio huku sasa, shunie umeokota.
 
Back
Top Bottom