Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Ni kweli, ila tafiti zinaonyesha kuwa kipindi hiki huwa kigumu kusettle tofauti na tunavyoambiwa na wazazi.Inategemea na sababu kadhaa...japo sio lazima.
I second youKuwa na mpenzi/rafiki toka Online n sawa na kushkwa na kijambo wakat unajua fika unatumbo la kuhara unaweza hisi unataka kujamba kumbe n uharo unatoka,na unaweza hisi n uharo kbsa ukakimbilia chooni kufika unajiachia kinatoka kijambo.
vitu ni 50/50 yani hamna guarantee.
Hiko kingereza chako chenyewe cha kuunga unga!Nope ila kweli kiswahili huwa kigumu kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Ukiweza kuelewa hapo, tusaidie na hii nyingine:
'For 2 months tulivyokuwa tunachart his married.'!
Haya bahana ongea chako au unifundisheHiko kingereza chako chenyewe cha kuunga unga!
Hajui kiswahili wala kiingerezaHivi wewe nimkenya? Naona hujui kiswahili,
Idumu sana ile kapo yangu pendwa....
Chawa wenu nawatakia kila laheri.[emoji3590][emoji23]
Naomba mtu anisaidie kuwa cc, simu yangu button zinasumbua.
We mama karibu tena, nani alikuficha maana ulipotea kama koti la ngedereHajui kiswahili wala kiingereza
Mimi mbona nipo sana tuWe mama karibu tena, nani alikuficha maana ulipotea kama koti la ngedere
Mimi mbona nipo sana tuWe mama karibu tena, nani alikuficha maana ulipotea kama koti la ngedere
We peperusha tu ndege wangu.NILIWAZA NIKAONA HIVI MAPENZI YA MITANDAONI NI KUWASTE TIME SERIOUSLY.
π π πPole bibie...
Unajua bila swaga za kishua, nyie huwa hamkamatiki....
Kwakweli, maana aibu nitakayo ipata...πͺLakini usije ukawabwagia siri zao huku public.najaribu kuwaza kwa mapana tuπ