Pengine nimekumiss au upofu unaninyemeleaMimi mbona nipo sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine nimekumiss au upofu unaninyemeleaMimi mbona nipo sana tu
Hahaha labdaPengine nimekumiss au upofu unaninyemelea
Chagua mojaHahaha labda
Wewe mhusika ndio unatakiwa uchagueChagua moja
Chagua moja
Sijui ni lipi kati ya hayoNyani huwa haoni ….. nichagulie
Nadhani ni upofuSijui ni lipi kati ya hayo
Sawa....poleNadhani ni upofu
Idumu sana ile kapo yangu pendwa....
Chawa wenu nawatakia kila laheri.❤️
Halafu walionekana wanapendana sana bibie si alimpora bwana kutoka kwa Kasie, halafu walidumu hawa sijui jini mkata kamba alitokea wapi lahaula, mara mahusiano chali.Kuna jamaa anajiita smart sijui wamepotelea wapi na yule demu wake, jamaa ilikuwa kila akicoment lazima amutagi demu wake
hata kizungu kiko pembeniHivi wewe nimkenya? Naona hujui kiswahili,
Sasa mkuu mtandaoni huku unaogopa za uso je mtaani kwako si unawakimbia kabisa, hebu jikaze mpe ya moyoni mwanaume inatakiwa uwe na ujasili.kuna mtoto hapa namuelewaga sema ndiyo hivyo tena nahofia atanipa za uso
Naomba smart asitajwe jamani, ntamtoa mtu damu....😂😂😂Kuna jamaa anajiita smart sijui wamepotelea wapi na yule demu wake, jamaa ilikuwa kila akicoment lazima amutagi demu wake
Hayana formula haya.. [emoji23]Kasie anavyojua mahaba akaachwa smart ulipo njoo utuambie kulikoni[emoji14][emoji85]
Ulimdanganya dada wa watu nini😃😃Kwakweli, maana aibu nitakayo ipata...😪
Ulivyoandika sasaNilikutana na mtu humu tukachart kweli for al most 5 months picha nilizokuwa nimetumiwa sizo zenyewe. For more months to come finally video chart kumbe sio mwenye zile picha kazi na kila kitu alicho kisema sio so chakufanya nikumdelete tu.
Mwingine kasema i am single and i was finish in every thing. For 2 months tulivyokuwa tunachart his married. Another round is kukutana na mtu live but later anakuwa humuelewi.
NILIWAZA NIKAONA HIVI MAPENZI YA MITANDAONI NI KUWASTE TIME SERIOUSLY. WAPO WALIOWIN WAPO WALIOUMIA MIMI SIJAUMIA ILA NIMEJUA KUWA HUMU LAZIMA UWE MAKINI.
Hata kiingereza ni mtihaniHivi wewe nimkenya? Naona hujui kiswahili,