Vimbwanga na Visa vya mahusiano ya JF

Kuna jamaa anajiita smart sijui wamepotelea wapi na yule demu wake, jamaa ilikuwa kila akicoment lazima amutagi demu wake
 
kuna mtoto hapa namuelewaga sema ndiyo hivyo tena nahofia atanipa za uso
Sasa mkuu mtandaoni huku unaogopa za uso je mtaani kwako si unawakimbia kabisa, hebu jikaze mpe ya moyoni mwanaume inatakiwa uwe na ujasili.
 
Ulivyoandika sasa
 
Kuanzisha mahusiano na mtu jf huku ukitarajia jambo flani kwa mtu uliyeanzisha nae mahusiano hayo inataka umakini na utulivu mkubwa.

Humu kunawatu wa aina zote ila wengi wao wanajielewa na wanauwezo wa kuwaelewa wengine.

Ukianza ukaribu na mtu, huishi salam kuonesha unajali ili kuweka ukaribu, usitegemee kitonga. Ndio maana wengi wanaokuja na malengo hayo huja na new ID

Uwelewa wako unapimwa na maneno yako" zitapitiwa threads na comments zako zote ulizowahi kutupia humu ili kujua utimamu wako kichwani.

Kwenye kutafuta rafiki,mwenza au kuamuwa nani wa kuwa nae kila mmoja huwa na vigezo vyake, ila hapa jf wengi huangalia mental attitude yako, nahii inatazamwa kwenye maneno yako on public sio pm kisha personality yako.

Kuna wakati mahusiano huwa yanakuja yenyewe pindi unapoamuwa kukaa kwenye position yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…