Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

[emoji23] [emoji23] pole sana miye hesabu nilikua nasimami kucha mwanzo mwisho baoloji hapana ilinikataa sana mwl wetu alichangia kuniua
MIE NILIKUWA NA KOPI MASWALI KATIKA question paper NAHAMISHIA KATIKA booklet.. mpaka muda unafika..

alaf MTIHANI wa MATHEMATICS unalala USINGIZI HAUJI.. unakuwa BORED.. alaf masaa ma 3.. unachoka.. unaanza kuhesabu mabati... ukichoka unalalia desk kama MBWA KOKO.. yaan hatari
Mi nalala mpk pens down!
Unahesabu na vitobo vya misumari kwenye bati
 
mimi kila pepa imekuwa test au mtihan wa mhula lazma nilale. ila nilikuja kulala zaid kwenye physics p2 advance
 
Nakumbuka o level kuna Dada mmoja aisee yule Dada alikua ananiumiza kichwa...somo la history anajaza karatasi hadi 6 na kamuandiko kake kalikua kadogo sana

Nikawa najiuliza anaandika kitu gani jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yawezekana mm ndio mtu pekee duniani nisiyependa kuangalizia wala kuuliza jibu mtu. Natumiaga akili yangu tu
Tuko wengi wengi kidogo, mimi kwenye pepa washkaji huwa wananimaind sana coz hata wakiniita huwa nageuka nawasikiliza then naendelea na mambo yangu. Huwa sipendi kabisa kusumbuliwa kwenye chumba cha mtihani. Na hata pepa likinigonga huwa sishawishiki hata chembe na inawezekana hata mtu akinipa majibu nikayakataa. Ijumaa iliyopita kulikuwa na test ya somo flani lina hesabu na mimi sehemu aliyotoa sikusoma nilikuwa naipita tu, nilichofanya nikatunga kanuni yangu nikafanya swali na nikajaza karatasi zote alizoleta mwalimu. Nasubiri zirudi nione nimescrore ngapi😃😃😃😃
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi sanaa toba nafsi yangu

Ila wewee jamaa una storiiiiiii
acha tu watu tumekutana na matukio hata ukitaka kutengeneza movie ya comedy tena hollywood itauza sana tu 😀😀😀
 
Kuna siku tulikua tunafanya test baada ya muda tunaskia puuuh paaah booooh buuuh wanafunzi kuanza kuuliza nini nini mwalim nae haelewi nini kumbe ni mabomu ya mbagala, kilichoendelea .............
 
Nakumbuka o level kuna Dada mmoja aisee yule Dada alikua ananiumiza kichwa...somo la history anajaza karatasi hadi 6 na kamuandiko kake kalikua kadogo sana

Nikawa najiuliza anaandika kitu gani jamani
Nakumbuka enz hizo pandahill kuna ticha mmoja mlevi alisahisha marking scheme yake akapata 47 .. Aljsahau ... Alkua anasahisha huku amelewa ... Siku anakuja kugawa pepa ... Wa kwanza nan huyu hajaandika jina ... ***** hahaa kumbe ni yeye
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀
Nimecheka sana
 
Upo kwenye mtihan unakuta mwana anatumia vifaa vyote vya mkebe hafu wewe kapuku hahahaha ... Another booklet please akat wewe ndo kwanza page tatu unahangaika wapi ukondens hata kanyimbo ili umeonekana umeandika sana nyie jaman shule ... Shule achen iitwe shule .. Nawasalimu ndugu zangu pcb popote mlipo ... Phosphoenol pyruvate halet tena pyruvate now days wala atp .. Naye vyuma vimekaza .......
Glycolysis hii mkuu kitambo sana RESPIRATION [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka enz hizo pandahill kuna ticha mmoja mlevi alisahisha marking scheme yake akapata 47 .. Aljsahau ... Alkua anasahisha huku amelewa ... Siku anakuja kugawa pepa ... Wa kwanza nan huyu hajaandika jina ... ***** hahaa kumbe ni yeye
Hahahaha hii kiboko kabisa
 
tukiwa chumba cha mtihani CBE enzi hizo ukiona math ngumu unamtengenezea jamaa wa DIT kitambulisho chenye jina lako anenda kupiga paper fresh

sasa masnitch hawakosekani kumbe wakawatonya viongozi siku ya paper tunashangaa wasimamizi wanaingia na polisi venue after venue walipofika venue letu lilikuwa ni T4 bonge la hall wanakuja na mashine kama ya supermarket ile wanamulika kwenye kitambulisho kama kimetengenezwa CBE inapiga beep kama umetengeza nje hailii unapigwa pingu

nakumbuka kuna jamaa wa DIT alitoka mbio akampiga push HOD mmama alivyodondoka akamanyang'anya ile karatasi tuliyosign IN akakikimbia nayo alikimbizwa na polisi akaruka ukuta akadondokea makaburi ya upanga akatokomea 😀😀😀😀

Duuuh hatari, akili kubwa sana hii linajua kufanya calculation vizuri
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi sanaa toba nafsi yangu

Ila wewee jamaa una storiiiiiii

acha tu mkuu watu tumekutana na matukio ya vituko sana...

pata picha baada ya vituko kama hivyo nilipomaliza chuo ndio nikaenda kale kasafari ka bangkok nako nikakumbwa na yale mabalaa 😂😂😂😂😂
 
Duuuh hatari, akili kubwa sana hii linajua kufanya calculation vizuri

noma sana.... alifikiria nje ya box maana ilikuwa ijumaa alafu wao DIT walikuwa wanaanza paper j3

so angekamatwa kulikuwa na uwezekano asifanye paper
 
Na pale unapoona wenzako wanaitisha extra sheets za kujibia wakati wewe ulishamaliza mtihani muda mrefu huna cha kufanya...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom