Vimbwanga ndani ya vyumba vya mtihani.

[emoji23] [emoji23] pole sana miye hesabu nilikua nasimami kucha mwanzo mwisho baoloji hapana ilinikataa sana mwl wetu alichangia kuniua Mi nalala mpk pens down!
Unahesabu na vitobo vya misumari kwenye bati
 
mimi kila pepa imekuwa test au mtihan wa mhula lazma nilale. ila nilikuja kulala zaid kwenye physics p2 advance
 
Nakumbuka o level kuna Dada mmoja aisee yule Dada alikua ananiumiza kichwa...somo la history anajaza karatasi hadi 6 na kamuandiko kake kalikua kadogo sana

Nikawa najiuliza anaandika kitu gani jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yawezekana mm ndio mtu pekee duniani nisiyependa kuangalizia wala kuuliza jibu mtu. Natumiaga akili yangu tu
Tuko wengi wengi kidogo, mimi kwenye pepa washkaji huwa wananimaind sana coz hata wakiniita huwa nageuka nawasikiliza then naendelea na mambo yangu. Huwa sipendi kabisa kusumbuliwa kwenye chumba cha mtihani. Na hata pepa likinigonga huwa sishawishiki hata chembe na inawezekana hata mtu akinipa majibu nikayakataa. Ijumaa iliyopita kulikuwa na test ya somo flani lina hesabu na mimi sehemu aliyotoa sikusoma nilikuwa naipita tu, nilichofanya nikatunga kanuni yangu nikafanya swali na nikajaza karatasi zote alizoleta mwalimu. Nasubiri zirudi nione nimescrore ngapiπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi sanaa toba nafsi yangu

Ila wewee jamaa una storiiiiiii
acha tu watu tumekutana na matukio hata ukitaka kutengeneza movie ya comedy tena hollywood itauza sana tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna siku tulikua tunafanya test baada ya muda tunaskia puuuh paaah booooh buuuh wanafunzi kuanza kuuliza nini nini mwalim nae haelewi nini kumbe ni mabomu ya mbagala, kilichoendelea .............
 
Nakumbuka o level kuna Dada mmoja aisee yule Dada alikua ananiumiza kichwa...somo la history anajaza karatasi hadi 6 na kamuandiko kake kalikua kadogo sana

Nikawa najiuliza anaandika kitu gani jamani
Nakumbuka enz hizo pandahill kuna ticha mmoja mlevi alisahisha marking scheme yake akapata 47 .. Aljsahau ... Alkua anasahisha huku amelewa ... Siku anakuja kugawa pepa ... Wa kwanza nan huyu hajaandika jina ... ***** hahaa kumbe ni yeye
 
Nimecheka sana
 
Glycolysis hii mkuu kitambo sana RESPIRATION [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka enz hizo pandahill kuna ticha mmoja mlevi alisahisha marking scheme yake akapata 47 .. Aljsahau ... Alkua anasahisha huku amelewa ... Siku anakuja kugawa pepa ... Wa kwanza nan huyu hajaandika jina ... ***** hahaa kumbe ni yeye
Hahahaha hii kiboko kabisa
 

Duuuh hatari, akili kubwa sana hii linajua kufanya calculation vizuri
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] safi sanaa toba nafsi yangu

Ila wewee jamaa una storiiiiiii

acha tu mkuu watu tumekutana na matukio ya vituko sana...

pata picha baada ya vituko kama hivyo nilipomaliza chuo ndio nikaenda kale kasafari ka bangkok nako nikakumbwa na yale mabalaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Duuuh hatari, akili kubwa sana hii linajua kufanya calculation vizuri

noma sana.... alifikiria nje ya box maana ilikuwa ijumaa alafu wao DIT walikuwa wanaanza paper j3

so angekamatwa kulikuwa na uwezekano asifanye paper
 
Na pale unapoona wenzako wanaitisha extra sheets za kujibia wakati wewe ulishamaliza mtihani muda mrefu huna cha kufanya...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…