Vimbwanga vya Hamas kuachia mateka ni bora kuliko mechi za Simba na Yanga

Vimbwanga vya Hamas kuachia mateka ni bora kuliko mechi za Simba na Yanga

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara nyengine Hamas itaachia mateka 4 wa Israel iliowachagua ambapo tayari majina yao yameshawekwa hadharani.

Jumamosi iliyopita ilikuwa ni burudani kubwa kwa ulimwengu na kwa watu wa Gaza waliposhuhudia kundi la Hamas likiwa limevalia kombati za kijeshi na kubeba bunduki walipojitokeza kwenye vichochoro vya kifusi huku wakikabidhiana mateka na Israel.

Burudani hiyo ilitokana na dhana iliyojaa kwa walimwengu wote kwamba kundi hilo lilikuwa limepotea kabisa baada ya vita vya zaidi ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka


Yawezekana mateka hao walikuwa wameshikiliwa maeneo ya kusini au kati ya Gaza. Hata hivyo Hamas walichagua kufanya makabidhiano kwenye mji mkuu wa jimbo hilo unaoitwa Gaza city ambao ulikuwa umemiminiwa moto mkali wa makombora ya mfululizo kutoka angani.

Wafuatiliaji wa vita hivi kote duniani siku ya kesho watapenda kuona Hamas wamechagua eneo gani la makabidhiano hayo na zawadi watakazotoa kwa mateka hao wanne.
 
Kwa mara nyengine Hamas itaachia mateka 4 wa Israel iliowachagua ambapo tayari majina yao yameshawekwa hadharani.

Jumamosi iliyopita ilikuwa ni burudani kubwa kwa ulimwengu na kwa watu wa Gaza waliposhuhudia kundi la Hamas likiwa limevalia kombati za kijeshi na kubeba bunduki walipojitokeza kwenye vichochoro vya kifusi huku wakikabidhiana mateka na Israel.

Burudani hiyo ilitokana na dhana iliyojaa kwa walimwengu wote kwamba kundi hilo lilikuwa limepotea kabisa baada ya vita vya zaidi ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka


Yawezekana mateka hao walikuwa wameshikiliwa maeneo ya kusini au kati ya Gaza. Hata hivyo Hamas walichagua kufanya makabidhiano kwenye mji mkuu wa jimbo hilo unaoitwa Gaza city ambao ulikuwa umemiminiwa moto mkali wa makombora ya mfululizo kutoka angani.

Wafuatiliaji wa vita hivi kote duniani siku ya kesho watapenda kuona Hamas wamechagua eneo gani la makabidhiano hayo na zawadi watakazotoa kwa mateka hao wanne.
mmhm.! inamaana hao mateka wakiachiwa wanapewa na zawadi duuh ndio kama zipi hizo zawadi za aina gani.?
 
Zaidi ya mwaka mmoja taifa teule la mungu linapigana na panya road HAMAS na limeshindwa kubaini wapi HAMAS na mateka walikuwa.. nonsense kabisa
Palestina inazidi kupoteza maeneo nyie mmekalia mateka.

Kwa akili ndogo tu mbona unapata majibu vizuri tu hao Mateka ndio sababu ya Israel kuhalalisha anachofanya hata wakati huu.

Ndio maana jumuia za kimataifa zinaashia kuangalia na kutoa matamko yasiyo na nguvu, utamzuiaje mtu asikushambulie na umeshikilia watu wake? Mateka ni mtego na HAMAS wamenasa.
 
Palestina inazidi kupoteza maeneo nyie mmekalia mateka.

Kwa akili ndogo tu mbona unapata majibu vizuri tu hao Mateka ndio sababu ya Israel kuhalalisha anachofanya hata wakati huu.

Ndio maana jumuia za kimataifa zinaashia kuangalia na kutoa matamko yasiyo na nguvu, utamzuia mtu asikushambulie na umeshikilia watu wake. Mateka ni mtego na HAMAS wamenasa.
Mkuu utajisumbua bure mavaa kobazi hayanaga akili
 
Palestina inazidi kupoteza maeneo nyie mmekalia mateka.

Kwa akili ndogo tu mbona unapata majibu vizuri tu hao Mateka ndio sababu ya Israel kuhalalisha anachofanya hata wakati huu.

Ndio maana jumuia za kimataifa zinaashia kuangalia na kutoa matamko yasiyo na nguvu, utamzuiaje mtu asikushambulie na umeshikilia watu wake? Mateka ni mtego na HAMAS wamenasa.
Lazima uone kuwa Israel haina uwezo kabisa kubaki Lebanon,Gaza na Syria ambako kote huko wananchi wake ni adui zake.Ndege za kivita pekee huleta uharibifu lakini hazileti ushindi ardhini.
 
Kazi imeanza na Hamas safari hii wamewasili kwenye maeneo katika msafara maalumu wa magari na wakiwa wengi zaidi
 
Ayatollah kimya, Hezbollah kimya, Syria imekombolewa, Sinwar kafa, Nasrallah kafa, viongozi wote wameuwawa, Hamas kutokea 30,000 mpaka 200 daadeki!!!...

Na hiyo ni awamu ya kwanza.
 
mwaka juz mlikuwa mnatamba leo mnamuita mtu wa vurugu ? waislam huwa mnasahau, mapema
Mtu wa vurugu,kapiga syria,kama haitoshi kachukua na maeneo,kapiga navy,radar,na maghala ya silaha syria,hapo ni baada ya assad kutimuliwa,sasa hivi anaua watu,kuharibu majumba na barabara west bank,kwa nini!?
 
Back
Top Bottom