Vimbwanga vya Hamas kuachia mateka ni bora kuliko mechi za Simba na Yanga

Vimbwanga vya Hamas kuachia mateka ni bora kuliko mechi za Simba na Yanga

Zaidi ya mwaka mmoja taifa teule la mungu linapigana na panya road HAMAS na limeshindwa kubaini wapi HAMAS na mateka walikuwa.. nonsense kabisa

Hao nao ni wahuni kama wahuni wengine tu.
 
Israel nchi ya vurugu tu,ugomvi wenyewe hawawezi mpaka wasaidiwe
Aliyewatuma Hamas October 7 aliwadanganya sana. Bila kusaidiwa na Hezbollah & Houthi. Sasa hivi mngekuwa barabarani mnaandamana
Wachangieni ndugu zenu wapate sehemu ya kuishi maana Gaza ni magofu
Thamani ya muisrael 1 ni sawa na wapalestina 30😀😀😀😀
 
Marekani ni taifa la wenye akili kubwa. Siyo km nchi za wengine kila raisi ana mambo yake
Wanabushana sasa hivi kuhusu haki ya kuzaliwa ambayo trump anataka kuindoa, trump hatambui ushoga wala jinsia ya tatu, trump anadai greenland ni USA, wenzake hawaungi mkono,trump anataka kupora panama canal, wenzake hawaungi mkono,uwe unaongea kwa fact
 
Aliyewatuma Hamas October 7 aliwadanganya sana. Bila kusaidiwa na Hezbollah & Houthi. Sasa hivi mngekuwa barabarani mnaandamana
Wachangieni ndugu zenu wapate sehemu ya kuishi maana Gaza ni magofu
Thamani ya muisrael 1 ni sawa na wapalestina 30😀😀😀😀
Askari wa kike wa israel walioachiwa na Hamas wamepiga picha mezani na bendera za palestine wakiwa na zawadi,wamependeza, umewaona!?
 
Halafu mbona usawa hakuna wa kuachiana? Yani 4 kwa 114? How?
 
Askari wa kike wa israel walioachiwa na Hamas wamepiga picha mezani na bendera za palestine wakiwa na zawadi,wamependeza, umewaona!?
Ndiyo ujue Waisrael ni watu wazuri sana na hawana shida na mtu yoyote duniani Wapalestina wangefanya hivyo!
Naipenda sana Israel.
 
Aliyewatuma Hamas October 7 aliwadanganya sana. Bila kusaidiwa na Hezbollah & Houthi. Sasa hivi mngekuwa barabarani mnaandamana
Wachangieni ndugu zenu wapate sehemu ya kuishi maana Gaza ni magofu
Thamani ya muisrael 1 ni sawa na wapalestina 30😀😀😀😀
Kwasababu Waisrael Wana thamani kubwa kuliko wapelestina, waisrael wanawachukulia wapelestina kama digidigi na sio binadamu.
JF inapoteza umahiri kwa kuwa na members wenye upeo mdogo kama nyie.

Walioachiwa leo ni wanajeshi tena wanawake mabinti wadogo, hawawezi kuwa sawa na raia.

Halafu, ukiona mezani kwenye maridhiano upande huu wanaachiwa wachache huku wengi mnapaswa kufahamu wanaoachiwa wachache ndio wenye nguvu kwenye uwanja wa vita, hivyo wamebanwa mezani hawana namna.

Hamfuatilii vita? Hamuoni huko Russia na Ukraine?
 
Ayatollah kimya, Hezbollah kimya, Syria imekombolewa, Sinwar kafa, Nasrallah kafa, viongozi wote wameuwawa, Hamas kutokea 30,000 mpaka 200 daadeki!!!...

Na hiyo ni awamu ya kwanza.
Kajamaa we porojo ujaacha katokea 3000 kutoka wapi izo porojo nskukumbusha siku ya kwanza kufanya hiii kitu chukua gaidi lako la srael 1 nipe wapalestina 3 tu tulianzia uku ukipunguza porojo ukweli ndio uho Israel ile kabla katoka tumetoka 1+3 baada kujulikana IDF kumbe weupe nyanya tu sasa esabu akatakiwa 1+50 kapiga atua Hamas na ndio kushindwa kwenyewe uko kwa IDF!!!
 
JF inapoteza umahiri kwa kuwa na members wenye upeo mdogo kama nyie.

Walioachiwa leo ni wanajeshi tena wanawake mabinti wadogo, hawawezi kuwa sawa na raia.

Halafu, ukiona mezani kwenye maridhiano upande huu wanaachiwa wachache huku wengi mnapaswa kufahamu wanaoachiwa wachache ndio wenye nguvu kwenye uwanja wa vita, hivyo wamebanwa mezani hawana namna.

Hamfuatilii vita? Hamuoni huko Russia na Ukraine?
Hongera wewe mwenye akili kubwa mpaka umeachana na mume wako😀😀😀😀
Ile futari waliokula hata ambao hawajafunga ukakasirika ndiyo aina ya wanawake ambao hawawezi kuishi kwenye ndoa. (Umefunga bado mchoyo, dini za kijinga sana)
Kama JF inapoteza mvuto kwa watu wenye upeo mdogo, ilikuwaje wewe mwenye akili kubwa ndoa yako ikapoteza mvuto mpaka mkaachana?
 
Wanabushana sasa hivi kuhusu haki ya kuzaliwa ambayo trump anataka kuindoa, trump hatambui ushoga wala jinsia ya tatu, trump anadai greenland ni USA, wenzake hawaungi mkono,trump anataka kupora panama canal, wenzake hawaungi mkono,uwe unaongea kwa fact
Ingekuwa ni kwa fact basi waislamu wasingepitisha ndoa ya mtoto wa miaka 9 kuolewa. Haujasikia hiyo kwa ndugu zako wa Iraq?
 
Kwasababu Waisrael Wana thamani kubwa kuliko wapelestina, waisrael wanawachukulia wapelestina kama digidigi na sio binadamu.
Nyie porojo zimewajaaa tatizo Magaid wa israel imeteka wapalestina wengi kuliko mateka wanaoshikiliwa na Hamas ivo ili twende sawa 1 kwa 50 kike dume 1 kwa 30 kutokana na idadi ya wapalestina waliozuiliwa uko Israel sio samani muisrael ana samani yoyote mbele ya mpalestine. Tatizo ni idadi wapelestina sio wajinga eti iwe 1 kwa 1 wkt Hamas wanawaisrael 200+ Israel ina wapelestina 10000+ ungekuwa ww ungefanya???? Dawa ndio iyo 1 kwa 50 mazwazwa uko vijiweni watadanganywa ivyo ivyo saman ya muisrael 1 sawa na wapalestina 50 yesu asifiweeee mizwazwa imeingia chakike!!!!
 
Ayatollah kimya, Hezbollah kimya, Syria imekombolewa, Sinwar kafa, Nasrallah kafa, viongozi wote wameuwawa, Hamas kutokea 30,000 mpaka 200 daadeki!!!...

Na hiyo ni awamu ya kwanza.
Hezbollah ipi ipo kimya hii ambayo Israel ilifanya juudi kusaini mkataba wakusimamisha mapigano sasa ulitaka hezbollah ikiuke mbona kabla kusaini hezbollah ilikuwa inatwanga Telaviv wakamuwai na mkataba,, Iran aijapoo ilikuwa inaitwanga Israel kila siku kutokea Yemen na Marekani Israel adi ww Imhotep wote mnajua Yemen ni kivuli cha Iran super power,
 
Ingekuwa ni kwa fact basi waislamu wasingepitisha ndoa ya mtoto wa miaka 9 kuolewa. Haujasikia hiyo kwa ndugu zako wa Iraq?
Na viongozi w kanisa kuvilawiti vitoto vya kiume iyo sawa kwako!!!!
 
Hezbollah ipi ipo kimya hii ambayo Israel ilifanya juudi kusaini mkataba wakusimamisha mapigano
Malengo👈 ya Hezbola kuingia Vita yalikuwa ni kwamba hawatasitisha Vita mpaka👉 Israel iache kushambulia Gaza.
😁😆
 
Back
Top Bottom