Vimbwanga vya Hamas kuachia mateka ni bora kuliko mechi za Simba na Yanga

Vimbwanga vya Hamas kuachia mateka ni bora kuliko mechi za Simba na Yanga

Kwa mara nyengine Hamas itaachia mateka 4 wa Israel iliowachagua ambapo tayari majina yao yameshawekwa hadharani.

Jumamosi iliyopita ilikuwa ni burudani kubwa kwa ulimwengu na kwa watu wa Gaza waliposhuhudia kundi la Hamas likiwa limevalia kombati za kijeshi na kubeba bunduki walipojitokeza kwenye vichochoro vya kifusi huku wakikabidhiana mateka na Israel.

Burudani hiyo ilitokana na dhana iliyojaa kwa walimwengu wote kwamba kundi hilo lilikuwa limepotea kabisa baada ya vita vya zaidi ya mwaka mmoja.

Soma Pia: Hamas waeleza sababu za kuchelewa kuachiwa kwa kundi la pili la mateka

Yawezekana mateka hao walikuwa wameshikiliwa maeneo ya kusini au kati ya Gaza. Hata hivyo Hamas walichagua kufanya makabidhiano kwenye mji mkuu wa jimbo hilo unaoitwa Gaza city ambao ulikuwa umemiminiwa moto mkali wa makombora ya mfululizo kutoka angani.

Wafuatiliaji wa vita hivi kote duniani siku ya kesho watapenda kuona Hamas wamechagua eneo gani la makabidhiano hayo na zawadi watakazotoa kwa mateka hao wanne.
Mara ya mwisho ni lin wamerusha kombora Israel nikumbushe
 
JF inapoteza umahiri kwa kuwa na members wenye upeo mdogo kama nyie.

Walioachiwa leo ni wanajeshi tena wanawake mabinti wadogo, hawawezi kuwa sawa na raia.

Halafu, ukiona mezani kwenye maridhiano upande huu wanaachiwa wachache huku wengi mnapaswa kufahamu wanaoachiwa wachache ndio wenye nguvu kwenye uwanja wa vita, hivyo wamebanwa mezani hawana namna.

Hamfuatilii vita? Hamuoni huko Russia na Ukraine?
Yaani tubadilishane dollar 1 ya Marekani kwa elfu 3 za kitanzania uje useme tzsh Ina thamani kuliko dollar? Inaonyesha The Bold kakuharibu uwezo wako wa kufikiri sio bure.
 
JF inapoteza umahiri kwa kuwa na members wenye upeo mdogo kama nyie.

Walioachiwa leo ni wanajeshi tena wanawake mabinti wadogo, hawawezi kuwa sawa na raia.

Halafu, ukiona mezani kwenye maridhiano upande huu wanaachiwa wachache huku wengi mnapaswa kufahamu wanaoachiwa wachache ndio wenye nguvu kwenye uwanja wa vita, hivyo wamebanwa mezani hawana namna.

Hamfuatilii vita? Hamuoni huko Russia na Ukraine?
Siyo kweli kwamba Israel inaachia wengi sababu eti imebanwa!

Ni kawaida Israel inaweza kukomboa maiti ya mtu wao hata kwa wafungwaa 100.

Kumbuka hao wanaachiwa toka Israel ni wafungwa ambao hata wakiendelea kuishi Israel ni gharama kwake. Hivyo anaona bora awaachie
 
Halafu mbona usawa hakuna wa kuachiana? Yani 4 kwa 114? How?
Ndio ulitaka iweje 1 kwa 1 wkt magaid waisrael waliwateka wapalestina 10000!+ wkt wapelestina ktk kuwakomboa ndugu zao waliotekwa na Israel wao waliteka waisrael 200+ ivo lazima esabu iwe ivo 1 kwa 50 Netanyahu siku nyingi anaigomea iyo lkn sasa maji ya shingo kashindwa kuwapata meteka wake!! pesa kibao zimepotea kulipa wanajeshi ambao wahuni tu wenyewe wanaenda umo gaza kujificha seem kimya siku ziende wakamue pesa Netanyahu kashtuka na yeye kwenda mwenyewe awezi katupa taulo tu uwanjani!!
 
Mpk waje wakuonyeshe...katazame al Jazeera wameshika nini wale wadada
 
Ingekuwa ni kwa fact basi waislamu wasingepitisha ndoa ya mtoto wa miaka 9 kuolewa. Haujasikia hiyo kwa ndugu zako wa Iraq?
Kwako kila mwarabu ni mwislamu?..akila anakula kiislam,akijamba anajamba kiislam?..tumia akili
 
Mkuu utajisumbua bure mavaa kobazi hayanaga akili
Umezaliwa kwenye maisha ya chuki. Takasa moyo wake hakuja wahii kuwa na watu wa jamii moja wote wawe wabaya tu kila jamii ina watu wabaya na wazuri. Kwasasababu wewe umazaliwa kwenye maisha ya chuki unataka uaminishe jamii kama waislamu ni watu wabaya sana wakati wewe ndio mtu hovyo kwenye jamii. Acha ubaguzi usi judge watu amboa Hawaja kufanyia kitu. Alafu siku ukibaguliwa ukaitwa nyani utalalamika wakati umesha bagua wenzako kama wavaa kobazi. Baado hamuelewi kama Palestine Kuna wakristo na ni wengi tu wakufa na makaisa kuaribiwa
 
Mtu wa vurugu,kapiga syria,kama haitoshi kachukua na maeneo,kapiga navy,radar,na maghala ya silaha syria,hapo ni baada ya assad kutimuliwa,sasa hivi anaua watu,kuharibu majumba na barabara west bank,kwa nini!?
Resistance iliyoko chini ya muirani ndio inayomtesa lakini hao wengine sunni kama Syria saudia na Jordan anapitisha pesa tu, kinacho muuma resistance ya Iran Watu hao wanambonda bila hata Kiongozi wao kuingilia halafu hawahongeki mzigo upo
 
Malengo👈 ya Hezbola kuingia Vita yalikuwa ni kwamba hawatasitisha Vita mpaka👉 Israel iache kushambulia Gaza.
😁😆
Ceasefire imekwisha subiri uone toka juzi wasenge wa tel viv wanahaha kuongeza japo siku 30 watoke kwenye ardhi ya vidume subiri uone
 
Siyo kweli kwamba Israel inaachia wengi sababu eti imebanwa!

Ni kawaida Israel inaweza kukomboa maiti ya mtu wao hata kwa wafungwaa 100.

Kumbuka hao wanaachiwa toka Israel ni wafungwa ambao hata wakiendelea kuishi Israel ni gharama kwake. Hivyo anaona bora awaachie
Hakuna cha bora waachie kwanza nynyi mnafuatilia kweli? Kwanza wanaochiwa sasa hivi sio walioingia baada ya oct 7 wanao achiwa hivi phase one ni wale waliohukumiwa vifungo vya maisha au kunyongwa. Au uharifu wa kivita na wengine ni member wa hamas au Fatah sasa magereza za mayuni kuna member lukuki kiasi kwamba wakibadili ratio ya 1:1 hamasi atakua hajafanya kitu. Kumbuka hamasi hadi maiti anazoshikilia anadai apewe watu wazima,
 
Ceasefire imekwisha subiri uone toka juzi wasenge wa tel viv wanahaha kuongeza japo siku 30 watoke kwenye ardhi ya vidume subiri uone
Inasemekana Waarabu waliouwawa kwenye hii Vita idadi yao inaweza kufikia 65000 ngoja waanze kuondoa kifusi.
 
Inasemekana Waarabu waliouwawa kwenye hii Vita idadi yao inaweza kufikia 65000 ngoja waanze kuondoa kifusi.
Nazungumzia Hizbollah muda wowote kinaanza upya kuanzia sasa
 
Siku wale wanaotegemea silaha kama chanzo chao cha uchumi watakapoacha basi ndio itakuwa mwisho wa vita duniani kote
 
Kwako kila mwarabu ni mwislamu?..akila anakula kiislam,akijamba anajamba kiislam?..tumia akili
Unaweza kunitajia nchi za waarabu ambazo kuna makanisa? Watu wanauhuru wa kuabudu dini yoyote
Waarabu 99.9℅ ni waislamu. Hao ni mabwana zako lazima uwatete😀😀
 
Zaidi ya mwaka mmoja taifa teule la mungu linapigana na panya road HAMAS na limeshindwa kubaini wapi HAMAS na mateka walikuwa.. nonsense kabisa
Unafikiria kupigana vita na panya road muda wote wapo kwenye mashimo yao ni rahisi?
Nilitegemea panya road wangekaa pale mpakani kuhakikisha wanawazuia wanajeshi wateule wa Mungu wasiingie Gaza
 
Unaweza kunitajia nchi za waarabu ambazo kuna makanisa? Watu wanauhuru wa kuabudu dini yoyote
Waarabu 99.9℅ ni waislamu. Hao ni mabwana zako lazima uwatete😀😀
Hata akili ya kuchanganua kilichoandikwa huna, kanunue mafuta ya alizeti yenye upako
 
Back
Top Bottom