realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Hadi kiwauwe ๐ ๐Kama mimi apa sahizi naumwa juzi nimepata mrembo nikiwa mitungi sahzi najitibu kisonono,,,, ila hatuachi kwakweli tutakua tunapumzika tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi kiwauwe ๐ ๐Kama mimi apa sahizi naumwa juzi nimepata mrembo nikiwa mitungi sahzi najitibu kisonono,,,, ila hatuachi kwakweli tutakua tunapumzika tu.
๐ค๐ค๐ค Kwani adam kilimponza nini jamanHadi kiwauwe ๐ ๐
Kwa hiyo mnaiga ๐๐ค๐ค๐ค Kwani adam kilimponza nini jaman
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ Kimsingi tunaishi katika destur yetu ila we achaa tu asikwambie mtu tuKwa hiyo mnaiga ๐
Kwamba Baraka zilihama kutoka kwa Mdogo mtu kuja kwa dada mtu..!Yakobo wa kwenye Biblia๐๐
mkuu endeleza storyYaani kama mchezo wa Raheli na Lea
Kwahiyo mkeo anajua ulinyandua mdogo wakeNae aliolewa wanaishi Arusha......
๐ ๐ ๐ Nipo mahala na majukumu yamenibanaBwashee Noah Scribe najua Kuna tumaini jipya hapa
Fanya Kuni check kule ukimaliza majukumu boss,, au uniambie muda utakao kuwa free๐ ๐ ๐ Nipo mahala na majukumu yamenibana
Sista ana roho mbaya sana aiseeeaLifanya ujinga mkubwa sana,ingekuwa ni vijana wa sasa,wangemshusha hata kama keshamla
wanawake huwa hawana hiyana! Ndo maana Mwanamke anaweza akakukuta na michepuko kadhaa lakini akakusamehe!Kwahiyo mkeo anajua ulinyandua mdogo wake
Poa mzee mwenzanguFanya Kuni check kule ukimaliza majukumu boss,, au uniambie muda utakao kuwa free
Mbena, mhehe ๐Be myangu ulihwina๐
Bena pureMbena, mhehe ๐
Pamoja sana, Bila shaka ni ya Njombe DCBena pure
makao yetu makuuPamoja sana, Bila shaka ni ya Njombe DC
Hapo pembeni miaka hiyo kulikuwa na baa inaitwa Rombo Super barHa ha ukachukua msheku,sio kamangulwa ni kwa mangulwa