Vimbwanga vya kutafuta mke safari ya ugenini

Kwahiyo mkeo anajua ulinyandua mdogo wake
wanawake huwa hawana hiyana! Ndo maana Mwanamke anaweza akakukuta na michepuko kadhaa lakini akakusamehe!
Tungepewa Moyo wa wanawake sijui ingekuwaje! Maana sisi wanaume huwa hatuna uwezo wa kuhimili pale unapomkamata mtu akichepuka story huwa inaishia hapo hapo. hiyo ni tofauti na wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…