Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Ngoja tuone itakavyokuwa
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Kafulila wanasema sio raia mbona?
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Lakini mtu wako huyu sio raia wa nchi hii unalijua?
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Mnahangaika sana kumpamba TUMBILI, muongo, mnafiki, mwenye tamaa, kwa If Fake, TUMBILI nenda kagombee kwenu Burundi, Ndoa imekushinda, bumunda mkubwa wewe na mammluki wanaokuja na id mbalimbali kukujenga.

Ni useless wastage of time and energy, TUMBILI hauziki hakubaliki.

Shame on you MBUZI WEE
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Mzalendo wa Samia
 
Kama kweli David Kafulila aliweza kukataa tasilimu TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Tegeta Escrow.

Ni wakati Sasa chama Cha Mapinduzi CCM kumtazama kijana huyu kwa jicho la tatu kwani ni hazina kwetu kama Chama na Taifa hili.

Nashauri chama cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwani ni kweli huyu ni lulu kwa Chama na kwa Taifa.

David Kafulila ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao pendwa ya Tanzania.

Mkakati huu utakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji kuchukua mwelekeo mpya wa siasa zake kuelekea 2030.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Sawa
 
Back
Top Bottom