Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM

HI've
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafuli
Hivi uyu kafulila yupo na lipi la ajabu, acheni michezo ya kitoto , hivi ukimwangalia usoni uyu yupo na uzalendo upi? Pelekeni ujinga huu fb
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Je Kafulila karipoti TAKUKURU kuhusu jaribio la kutaka kurubuniwa kwa rushwa?

Huu ni UWONGO tu wa mchana. Kwanza Commissioner wa PPP siyo afisa masuruli, hivyo hana maamuzi ya ku commit kitu hadi arubumiwe.

Mwenye Kasma ni Katibu Mkuu Hazina.

Haya ma threads mnayoanzisha kum promote Kafulila NAWAHAKIKISHIA yatambomo kuliko kumjenga.

Naye alivyo mpumbavu kama Tumbili anaridhika na uchuro huu
 
Tumbili yuko vizuri sana. Mungu ampe maisha marefu yenye hekima na busara.
 
Je Kafulila karipoti TAKUKURU kuhusu jaribio la kutaka kurubuniwa kwa rushwa?

Huu ni UWONGO tu wa mchana. Kwanza Commissioner wa PPP siyo afisa masuruli, hivyo hana maamuzi ya ku commit kitu hadi arubumiwe.

Mwenye Kasma ni Katibu Mkuu Hazina.

Haya ma threads mnayoanzisha kum promote Kafulila NAWAHAKIKISHIA yatambomo kuliko kumjenga.

Naye alivyo mpumbavu kama Tumbili anaridhika na uchuro huu
Tatizo nyie watoto 2000 mwaka 2014 wakati Kafulila anakataa hiyo rushwa mlikuwa bado wadogo sana.
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Ila CCM haiwezi mpa nafasi kwani anaonekana kama mpinzani sijui labda huo mwelekeo mpya
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Kafulila Kafulia
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Nyie madogo mnachekesha

Hivi ccm Ina mzalendo?
Mnazijua ccm vizuri nyie

Punguzeni uchawa ati
 
Tatizo nyie watoto 2000 mwaka 2014 wakati Kafulila anakataa hiyo rushwa mlikuwa bado wadogo sana.
Nenda kaangalie profile yangu uone niliingia lini JF kabla ya kuandika huo utumbo.

Screenshot_20240808_075216_Chrome.jpg

Ningeweza kuwa hawara wa mama yako na kukuzaa halafu unaniita mimi wa 2000
Screenshot_20240808_075050_Chrome.jpg
 
Nenda kaangalie profile yangu uone niliingia lini JF kabla ya kuandika huo utumbo.

View attachment 3064284
Ningeweza kuwa hawara wa mama yako na kukuzaa halafu unaniita mimi wa 2000
View attachment 3064285
Huyu Kafulila kadiri unavyompinga ndio kadiri anavyopata nguvu. Wakati mwingine hii ni mipango ya Mungu mwenyewe. Uzalendo wa Kafulila ni wa kutiliwa mfano na Kila Mtanzania
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Kafulila is a good man
 
Kama kweli aliweza kukataa TZS 3 bilioni kama rushwa toka kwa wababe wa Escrow chama Changu Cha Mapinduzi kijana huyu ni hazina kwetu tumpende tusimpende Taifa lote linatutazama sisi.

Nashauri chama changu cha Mapinduzi CCM kianze polepole kumsogeza huyu mtu karibu kwakuwa ni hazina kwa Chama na kwa Taifa kwani ni kielelezo Cha Uzalendo walionao baadhi ya vijana wa Taifa hili kwa nchi yao Tanzania.

Mada hii itakuwa na nguvu tu endapo CCM itahitaji mwelekeo mpya wa siasa.


Ni Mimi mwanahabari wa Taifa.

Pia soma hii Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?
Unga mkono maneno yako
 
Back
Top Bottom